Naungana na waliotangulia, ushauri wa madaktari mtoto apewe maziwa ya mama au yale special kwa watoto (kopo) hadi atimize miezi sita. Utakapomwanzishia vyakula uende taratibu, anza mara moja kwa siku kiduchu na nyakati nyingine maziwa. Epuka chumvi, sukari, mafuta, maji/juicy zisizo salama.
The longer you wait to introduce people's food the better, vile vile chagua vyakula ambavyo vitajenga mwili, mfano badala ya uji wa ugali au ulezi, why not njegele kidogo, karoti, na kiazi mviringo robo chemsha ponda/blend changanya na maziwa uwe laini mjaribishe mtoto.