Masalu Jacob
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 1,013
- 1,183
Habari Tanzania !
Sasa ile vita ya mfugaji na mkulima mwisho kabisa. Sitegemei kuona tena vita hii hapa Tanzania.
Mahitaji
a) Karanga mbichi kikombe 1 na 1/2.
b) Sufuria na chujio kubwa
c) Jiko la mkaa, kuni, umeme au gesi
d) Brenda
e) Maji lita 2
f) Jagi au chupa kwa kuhifadhia maziwa
g) Kitambaa safi cheupe
Utaratibu
a) Osha karanga zako kwa maji safi.
b) Zichemshe kidogo, ukishamaliza.
c) Ziweke katika brenda na changanya na maji lita 1.
d) Washa brenda yako na fanya mchanganyo.
e) Anza kuchuja maziwa yako ya karanga kwa kitambaa safi ukimimina kwa jagi au chupa.
f) Ukimaliza zoezi la juu, chemsha tena maziwa yako kidogo.
g) Maziwa yapo tayari kwa matumizi
Karibu.
Sasa ile vita ya mfugaji na mkulima mwisho kabisa. Sitegemei kuona tena vita hii hapa Tanzania.
Mahitaji
a) Karanga mbichi kikombe 1 na 1/2.
b) Sufuria na chujio kubwa
c) Jiko la mkaa, kuni, umeme au gesi
d) Brenda
e) Maji lita 2
f) Jagi au chupa kwa kuhifadhia maziwa
g) Kitambaa safi cheupe
Utaratibu
a) Osha karanga zako kwa maji safi.
b) Zichemshe kidogo, ukishamaliza.
c) Ziweke katika brenda na changanya na maji lita 1.
d) Washa brenda yako na fanya mchanganyo.
e) Anza kuchuja maziwa yako ya karanga kwa kitambaa safi ukimimina kwa jagi au chupa.
f) Ukimaliza zoezi la juu, chemsha tena maziwa yako kidogo.
g) Maziwa yapo tayari kwa matumizi
Karibu.