Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kariakoo ule mtaa ambapo kuna msikiti wa Idrissa nyoosha ukiwa unatokea msimbazi b mwendokasi, mtaa unaofuata upande wa kushoto utaona frame ya mpemba ipo juu juu kwenye kona anauza juisi mbalimbali, bites kama zote, fruits na soup.Habari zenu, Nipo Dar-es-salaam nahitaji maziwa ya Ngamia je yanapatikana wapi?
Msaada tafadhali... Ahsantee!
Habari zenu,
Nipo Dar-es-salaam nahitaji maziwa ya Ngamia je yanapatikana wapi?
Msaada tafadhali...
Ahsantee!
Ni dawa...Yana matumizi gani hayo maziwa? Tushirikishane Bwashee! Maana sisi wengine huyo Ngamia mwenyewe tu huwa tunamuona kwenye TV.
Dawa ya mini?Ni dawa...