HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Ajali ya jana imesababishwa na mazoea, vifo vya jana vimetokana na mazoea. Ule Uwanja hauna Taa za pembeni. Hauna Aproach Tower
Uwanja hauna Zima Moto
Rubani pale anatua kutokana na uzoefu wake, yawezekana huyu Rubani alikuwa mzoefu wa kutua katika hiyo hali, ila jana haikuwa siku yake.
Ajali imetokea Saa 2.30, ila serikali imefika eneo la tukio saa 3 na madakika, hii yote ni kutokana na uzembe au walihisi ni drills za siku zote.
Mazoea yanaumiza watu wasio na hatia. Serikali haina vyombo vya uokozi
Serikali haina vyombo vya kuzamia kutoa watu hadi wazamiaji nao wakafia humo ndani ya ndege
Mazoea
Mazoea
Uwanja hauna Zima Moto
Rubani pale anatua kutokana na uzoefu wake, yawezekana huyu Rubani alikuwa mzoefu wa kutua katika hiyo hali, ila jana haikuwa siku yake.
Ajali imetokea Saa 2.30, ila serikali imefika eneo la tukio saa 3 na madakika, hii yote ni kutokana na uzembe au walihisi ni drills za siku zote.
Mazoea yanaumiza watu wasio na hatia. Serikali haina vyombo vya uokozi
Serikali haina vyombo vya kuzamia kutoa watu hadi wazamiaji nao wakafia humo ndani ya ndege
Mazoea
Mazoea