Kitu kinaniuma sana tumewekeza kwenye siasa sana mahela kibao kwenye siasa, kusifia hovyo, uongo uongo , ubinafsi wizi yaaani hatuna mwelekeo.
Ni yale yale ya kila siku, zima moto limechelewa au limewahi lakini halina maji, Vita ukraine ndio inapandisha bei ya vyakula, tunarekebisha mitambo ndio maana umeme unasumbua, tumepewa mkopo sijui na nani nani, tumewasiliana na rubani, iombeeni bara bara isilete ajali.
Kama Taifa tuna shida kubwa.