Ndugu wadau, nimekuwa na mazoea ya kunywa maji baridi toka ktk jokofu, iwe asubuhi, mchana, ama usiku.. Je mazoea haya yana madhara kwa afya yangu baadae ? Naomba kuelimishwa tafadhari.
According to Doctor Ndodi ni kwamba mwili utatumia muda mrefu sana kuyafanya maji hayo baridi uliyokunywa yaanze kufanya kazi, maana kama ukiyanywa yakifika tumboni lazima yakae tumboni ili yapate joto sawa na la mwili ili yaanze kusambaa kwa kazi mbalimbali za mwilini kwa hiyo kunywa maji ambayo ya joto kiasi kidogo sana (vuguvugu).
Ila si vibaya kama umetoka kula chakula cha moto ukanywa maji baridi.
heri yangu mie maji baridi toka mtoto nayaogopa!!!hata kuwe joto aina gani! Ntakunywa warm ,kama kuna baridi hata a litle bit hot will do. Ila cold naona yanaukakasi ! Ila hey ,mishushio baridi inahusika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.