Mazoezi makali ya wanajeshi Tabora kuna nini?

Mazoezi makali ya wanajeshi Tabora kuna nini?

Torra Siabba

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2016
Posts
243
Reaction score
287
Kwa wiki nzima hii nimekuwa nikiona vikosi vya jeshi wakitembea mtaani hapa Tabora, wakiwa wameshika bunduki, wakitembea kwa mstari, ukipita maeneo ya kule Ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wao ndio wamezagaa mule ndani na ndio wanaofungua na kufunga mageti.

MIsururu ya magari yao inakatiza, hii inatisha watu tena wakati wa misululu hiyo juu kunakuwa na Escot ya Helkopta wenye kujua nini kinaendelea watujuze maana inatisha walahi

Kwenu wanajamvi..
 
Kwa tabora hiyo ni kawaida mkuu.
Niliishi hapo kwa miaka miwili na ilikuwa kawaida kuwaona wakipita barabarani wakifanya mazoezi
 
Waende gaza au ukrain wakaoneshe maujuzi yao sasa

Ova
 
Back
Top Bottom