Mazoezi na COVID19: Je, ni sahihi kuvaa barakoa wakati wa mazoezi?

Mazoezi na COVID19: Je, ni sahihi kuvaa barakoa wakati wa mazoezi?

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
Kiafya, haitakiwi kuvaa barakoa ‘mask’ wakati wa kufanya mazoezi kwa sababu zinapunguza uwezo wa kupumua vizuri. Katika kufanya mazoezi, katika hali ya kawaida huwa na ugumu wa kuhema hivyo kwa kuvaa barakoa ugumu unaongezeka.

Vilevile, jasho linaweza kulowesha barakoa haraka na kuifanya isifae tena kwa matumizi na pia kuifanya kwa sehemu nzuri kwa ustawi wa vijidudu.

Njia bora ya kujilinda na #COVID19 wakati wa mazoezi ni kuhakikisha kuna umbali wa angalau mita 1 kutoka kwako hadi mtu mwingine.

Kwa wanaoenda GYM, ni vyema kuhakikisha wananawa mikono kabla na baada ya mazoezi, wanahakikisha umbali kati yao na mtu mwingine au mwalimu (instructor) unazingatiwa.

Wamiliki wa GYM wajitahidi kutakasa vifaa vyote na kuweka sanitizers sehemu nyingi ili kudhibiti maambukizi.
 
Upvote 0
mapambano ya COVID-19 kwa hapa nchini yameshakuwa changamoto.

Ni vigumu mno kumwambia mtu na akakuelewa kwamba corona bado ipo, cha kushangaza hata wasomi huku mtaani wanaaamini Corona ilishaondoka kwa nguvu ya Raisi.

Hili suala kwa sasa ni watakaokufa wafe, watakaopona wapone, no way
 
Kiafya, haitakiwi kuvaa barakoa ‘mask’ wakati wa kufanya mazoezi kwa sababu zinapunguza uwezo wa kupumua vizuri. Katika kufanya mazoezi, katika hali ya kawaida huwa na ugumu wa kuhema hivyo kwa kuvaa barakoa ugumu unaongezeka.
THE GOOD NEWS IS THIS...
A cheap and widely available drug can help save the lives of patients seriously ill with coronavirus.

The low-dose steroid treatment dexamethasone is a major breakthrough in the fight against the deadly virus, UK experts say.

The drug is part of the world's biggest trial testing existing treatments to see if they also work for coronavirus.

It cut the risk of death by a third for patients on ventilators. For those on oxygen, it cut deaths by a fifth.

Had the drug had been used to treat patients in the UK from the start of the pandemic, up to 5,000 lives could have been saved, researchers say.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom