Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Wakuu Kuna video nimeiona(,Nimeshindwa kuilandisha Hapa) Wakati wakifanya mazoezi kabla ya kucheza na Makolo.
Kimsingi Nimewadharau bure!
Walikuwa Kwenye mashindano ya kimataifa kwa nn hiyo jihadi hawakuionesha huko?
Kwenye mataifa walicheza kama wana vyuma miguuni lakini wakija kwenye local hasa Yanga na Simba, wanacheza kana kwamba baada ya mechi hakuna kucheza tena? Hovyo kabisa hawa.
Lakini nimewaza pia, mbona hawa jamaa wakibaki na Kali Ongala, wanacheza mpira mzuri na wa kushindana tofauti na kocha mkuu akija kwenye hii team?
Isije kuwa hawa jamaa na Acting Coach lao moja ili Kali Ongala aweze kupewa team?[emoji848]
Wakuu nimewaza tu
Kimsingi Nimewadharau bure!
Walikuwa Kwenye mashindano ya kimataifa kwa nn hiyo jihadi hawakuionesha huko?
Kwenye mataifa walicheza kama wana vyuma miguuni lakini wakija kwenye local hasa Yanga na Simba, wanacheza kana kwamba baada ya mechi hakuna kucheza tena? Hovyo kabisa hawa.
Lakini nimewaza pia, mbona hawa jamaa wakibaki na Kali Ongala, wanacheza mpira mzuri na wa kushindana tofauti na kocha mkuu akija kwenye hii team?
Isije kuwa hawa jamaa na Acting Coach lao moja ili Kali Ongala aweze kupewa team?[emoji848]
Wakuu nimewaza tu