Mazoezi ya Lemutuz yawatoa 'machozi' madaktari,wasema ''anachokitafuta atakipata"

Mazoezi ya Lemutuz yawatoa 'machozi' madaktari,wasema ''anachokitafuta atakipata"

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
41204184_1832651010104812_2962902898747839687_n.jpg

Wakati Lemutuz akiwa anamalizia free trial ya mwezi mmoja kutoka gym fulani (jina kapuni),madaktari kadhaa wamecharuka na aina ya upigaji wake wa mazoezi na kudai mambo na mazoezi anayofanya si salama tena kwa umri wake.
Tofauti na upigaji mazoezi wa kawaida ambao mtu ubeba vitu vizito,Lemutuz yeye kaja na staili mpya ambapo huweka tumbo sakafuni kisha anawekewa vitu vizito mgongoni (mfano watu,madumu ya maji,matofali, mitungi ya gesi nk)
Madaktari hao wameshauri mmiliki huyo wa Gym kumkataza mara moja aina hiyo ya ufanyaji mazoezi au wamsimamishe mazoezi mara moja baada ya Free trial yake kuisha maana kuna uwezekano mkubwa wa kukatika kiuno na hivyo kusababishwa kufikishwa mahakamani kwa wamiliki hao.
Madaktari wengine walidai kuna uwezekano mkubwa mazoezi ya aina hiyo ikawa ni njia mpya ya uongezaji wa nguvu za kiume lkn wakiogopa kuthibitisha isije vijana wote wa Dar wakakimbilia mazoezi hayo.
Wakati hayo yakiendelea gym Lemutuz ameendelea kuwaumiza kichwa wasomi wa tabia za binadamu na saikolojia hasa baada ya kumstudy kwa miaka 10 lkn kushindwa kabisa kujua yeye ni aina gani ya binadam hasa.
 
41204184_1832651010104812_2962902898747839687_n.jpg

Wakati Lemutuz akiwa anamalizia free trial ya mwezi mmoja kutoka gym fulani (jina kapuni),madaktari kadhaa wamecharuka na aina ya upigaji wake wa mazoezi na kudai mambo na mazoezi anayofanya si salama tena kwa umri wake.
Tofauti na upigaji mazoezi wa kawaida ambao mtu ubeba vitu vizito,Lemutuz yeye kaja na staili mpya ambapo huweka tumbo sakafuni kisha anawekewa vitu vizito mgongoni (mfano watu,madumu ya maji,matofali, mitungi ya gesi nk)
Madaktari hao wameshauri mmiliki huyo wa Gym kumkataza mara moja aina hiyo ya ufanyaji mazoezi au wamsimamishe mazoezi mara moja baada ya Free trial yake kuisha maana kuna uwezekano mkubwa wa kukatika kiuno na hivyo kusababishwa kufikishwa mahakamani kwa wamiliki hao.
Madaktari wengine walidai kuna uwezekano mkubwa mazoezi ya aina hiyo ikawa ni njia mpya ya uongezaji wa nguvu za kiume lkn wakiogopa kuthibitisha isije vijana wote wa Dar wakakimbilia mazoezi hayo.
Wakati hayo yakiendelea gym Lemutuz ameendelea kuwaumiza kichwa wasomi wa tabia za binadamu na saikolojia hasa baada ya kumstudy kwa miaka 10 lkn kushindwa kabisa kujua yeye ni aina gani ya binadam hasa.
Atajijua mwenyewe sisi haituhusu wala hatuwezi ingilia maisha binafs ya mtu
 
41204184_1832651010104812_2962902898747839687_n.jpg

Wakati Lemutuz akiwa anamalizia free trial ya mwezi mmoja kutoka gym fulani (jina kapuni),madaktari kadhaa wamecharuka na aina ya upigaji wake wa mazoezi na kudai mambo na mazoezi anayofanya si salama tena kwa umri wake.
Tofauti na upigaji mazoezi wa kawaida ambao mtu ubeba vitu vizito,Lemutuz yeye kaja na staili mpya ambapo huweka tumbo sakafuni kisha anawekewa vitu vizito mgongoni (mfano watu,madumu ya maji,matofali, mitungi ya gesi nk)
Madaktari hao wameshauri mmiliki huyo wa Gym kumkataza mara moja aina hiyo ya ufanyaji mazoezi au wamsimamishe mazoezi mara moja baada ya Free trial yake kuisha maana kuna uwezekano mkubwa wa kukatika kiuno na hivyo kusababishwa kufikishwa mahakamani kwa wamiliki hao.
Madaktari wengine walidai kuna uwezekano mkubwa mazoezi ya aina hiyo ikawa ni njia mpya ya uongezaji wa nguvu za kiume lkn wakiogopa kuthibitisha isije vijana wote wa Dar wakakimbilia mazoezi hayo.
Wakati hayo yakiendelea gym Lemutuz ameendelea kuwaumiza kichwa wasomi wa tabia za binadamu na saikolojia hasa baada ya kumstudy kwa miaka 10 lkn kushindwa kabisa kujua yeye ni aina gani ya binadam hasa.
Unajua inawezekana wakati wasomi wanashindwa kumsoma Le Mutuz, Le Mutuz ndiye anayewasoma wasomi.

Pengine yupo katika a highly counterintuitive sociological study, katumwa na CIA.

Bwahaaaaaa.
 
Unajua inawezekana wakati wasomi wanashindwa kumsoma Le Mutuz, Le Mutuz ndiye anayewasoma wasomi.

Pengine yupo katika a highly counterintuitive sociological study, katumwa na CIA.

Bwahaaaaaa.
CIA sametime ni wahuni hawashindwi kitu wale

We are the Nation's first line of defense.
We accomplish what others cannot accomplish and go where others cannot
go.
 
Unaweza kuthibitisha kwamba Mungu hayupo.
Umechanganya madawa.

Swali lako lakutaka nithibitishe Mungu hayupo ni uthibitisho Mungu hayupo.

Angekuwepo, ingekuwa dhahiri kabisa yupo,kusingekuwa na swali kama yupo.

Sitaki kuchafua threads za watu kwa mijadala iliyo out of topic.

So I will ignore any further disrespectful book of contemptible calumny thrown at me.
 
Eti wasomi wameshindwa kumsoma yeye ni binadamu wa aina gani
Eti wanasema kama hesabu basi Le Mutuz ni hesabu ya kugawanya kwa ziro, imepigwa marufuku kutokea.

Sasa wanashangaa, katokeaje wakati hesabu ya kutokea kwake imepigwa marufuku?

Yaani mtoto wa mtu mkubwa mwenye kuheshimiwa kimataifa katokea kuwa kituko cha ajabu, imewezekanaje? Alaumiwe yeye? Au alaumiwe baba yake?

Ukimlaumu yeye anaweza kusema hakupata malezi stahiki.

Ukimlaumu baba yake unaweza kuambiwa baba alishafanya kila kitu, mtoto katokea nunda tu.

Hesabu haieleweki kama kugawanya kwa sifuri.
 
Umechanganya madawa.

Swali lako lakutaka nithibitishe Mungu hayupo ni uthibitisho Mungu hayupo.

Angekuwepo, ingekuwa dhahiri kabisa yupo,kusingekuwa na swali kama yupo.

Sitaki kuchafua threads za watu kwa mijadala iliyo out of topic.

So I will ignore any further disrespectful book of contemptible calumny thrown at me.
Halafu ulikimbia mjadala kule.

Ninakukumbusha tena, nipe ile aya.
 
Back
Top Bottom