Mazoezi ya Lemutuz yawatoa 'machozi' madaktari,wasema ''anachokitafuta atakipata"

Akuna anayeangaishwa na maumbile yake kumbuka ukitaka kutoa watu kasoro jiridhishe kwanza wewe upo vizuri kwa 100% bila hivyo watu waunao watoa kasoro lazima watatafuta kila kasoro yako ili waweze kulipiza ndicho kinachomtokea king wa mitandao
 
Pamoja na madhaifu mengine ya huyu ndugu lakini nashangazwa sana na jinsi vijana wa kiume wanavyohangaishwa na maumbile ya huyu!!!......

How come full grown man unahangaishwa na ukubwa au udogo wa maumbile ya mwanaume mwenzako!!!!....?

Hili jambo huwa linaniacha mdomo wazi
Akuna anayeangaishwa na maumbile yake kumbuka ukitaka kutoa watu kasoro jiridhishe kwanza wewe upo vizuri kwa 100% bila hivyo watu waunao watoa kasoro lazima watatafuta kila kasoro yako ili waweze kulipiza ndicho kinachomtokea king wa mitandao
Yapo mengi ya kukosoana
Lakini kumkosoa au kumsimanga mwanaume mwenzako kwa maumbile yake ni jambo lenye kuleta ukakasi na kichefu chefu kwa watu makini!!!.....
 
Nahisi Mzee Malecela akimuona Lemutuz a.k.a Lekokobanga a.k.a Nyenyenyenye huwa anajisemea kimoyomoyo "bora mbegu zangu ningezimwaga nje kuliko kuleta kiumbe cha namna hii Duniani"
Hii comment sio sawa kabisa hata kama humpendi basi heshimu haki yake ya kuishi maana sidhani kama maisha yake yanakuathiri wewe kwa lolote. GROW UP!!
 
Hilo zoezi ndio linapunguza tumbo lake mana akitoka hapo anaenda kutoa kinye...si kg 10
 
Hivi mazoezi kwa wanaume yanasaidia KUREFUSHA NANILILO?
 
Madaktari wengine walidai kuna uwezekano mkubwa mazoezi ya aina hiyo ikawa ni njia mpya ya uongezaji wa nguvu za kiume lkn wakiogopa kuthibitisha isije vijana wote wa Dar wakakimbilia mazoezi hayo
Hili linabidi lifanyiwe uchunguzi haraka na majibu yatolewe mapema ili kuokoa hiki kizazi
 
Last thursday nlikutana nae CBE, alikuwa kapiga kanzu! Daaah!
 
Dah! Msaga sumu usife mapema asee....😎😎😎😎😎😎😎
 
Hahahahaha hapo kwenye mtungi wa gas nusura nitapike kwa kicheko hahahaha nikivuta picha mtungi wa gas hahaha
 
Unene ni uzembee...anakumbuka shuka kumekucha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…