Mazungumzo Gaza, hati hati kukikwaa kisiki

Mazungumzo Gaza, hati hati kukikwaa kisiki

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
1. Tarehe 9/4/2024 kulitolewa siku 2 za tafakuri:

IMG_20240413_093558.jpg


2. Kuelekea Tafakuri walisikika wawili hao:

IMG_20240413_103223.jpg


3. Hata hivyo: kutokea Israel, somo lilisha eleweka:

Natenyahu akubaliana na kilichopo mezani

4. Kutokea HAMAS, Ngoma Iko pale pale:

IMG_20240412_125607.jpg


5. Kwamba,

IMG_20240413_104138.jpg


6. Kumbe kulikoni kuhitaji shikizo kwa awaye yote nje ya ridhaa yao?

7. Si kweli kuwa ni Kwa sababu hakuliki wala hakukaliki, kwamba:

IMG_20240413_093713.jpg


8. Kulikoni ukomavu huu usioteteleka, kutokea kwa wanaofikiriwa kuwa wanamgambo "uchwara" hawa?

IMG_20240413_093337.jpg


9. Kwamba yawezekana mateka walikufa?

IMG_20240413_104824.jpg


10. Si mseme tu, kwani makombora yale yasiyokuwa na macho yalikuwa ni kwa wapalestina peke yao?

IMG_20240411_201945.jpg


11. Cha kutambua, ukombozi si lelemama; piga ua, udhwalimu utashindwa!
 
Imethibitishwa, HAMAS kasimama na matakwa yake:

1. Vita Kusimamishwa
2. IDF kuondoka Gaza
3. Watu wa Gaza kurejea kokote watakako.

Vinginevyo twende KAZI:

IMG_20240414_090801.jpg


Ngoja tuone mateka wangapi wataokolewa.
 
Back
Top Bottom