1. Tarehe 9/4/2024 kulitolewa siku 2 za tafakuri:
2. Kuelekea Tafakuri walisikika wawili hao:
3. Hata hivyo: kutokea Israel, somo lilisha eleweka:
Natenyahu akubaliana na kilichopo mezani
4. Kutokea HAMAS, Ngoma Iko pale pale:
5. Kwamba,
6. Kumbe kulikoni kuhitaji shikizo kwa awaye yote nje ya ridhaa yao?
7. Si kweli kuwa ni Kwa sababu hakuliki wala hakukaliki, kwamba:
8. Kulikoni ukomavu huu usioteteleka, kutokea kwa wanaofikiriwa kuwa wanamgambo "uchwara" hawa?
9. Kwamba yawezekana mateka walikufa?
10. Si mseme tu, kwani makombora yale yasiyokuwa na macho yalikuwa ni kwa wapalestina peke yao?
11. Cha kutambua, ukombozi si lelemama; piga ua, udhwalimu utashindwa!
2. Kuelekea Tafakuri walisikika wawili hao:
3. Hata hivyo: kutokea Israel, somo lilisha eleweka:
Natenyahu akubaliana na kilichopo mezani
4. Kutokea HAMAS, Ngoma Iko pale pale:
5. Kwamba,
6. Kumbe kulikoni kuhitaji shikizo kwa awaye yote nje ya ridhaa yao?
7. Si kweli kuwa ni Kwa sababu hakuliki wala hakukaliki, kwamba:
8. Kulikoni ukomavu huu usioteteleka, kutokea kwa wanaofikiriwa kuwa wanamgambo "uchwara" hawa?
9. Kwamba yawezekana mateka walikufa?
10. Si mseme tu, kwani makombora yale yasiyokuwa na macho yalikuwa ni kwa wapalestina peke yao?
11. Cha kutambua, ukombozi si lelemama; piga ua, udhwalimu utashindwa!