Mazungumzo: Jinsi dijitali inavyoweza kukuza Demokrasia Tanzania

Digitali Haijakuza Demokrasia Russia na China
 
Dijitali haiwezi kukuza demokrasia, haijakuza Demokrasia Urusi, China, Uarabuni, Venezuela n.k.

Demokrasia inakuzwa kwa utamaduni, raia wengi kuipenda na kuwa majasiri kuitafuta na kulinda.
 
Sio kweli, China ni mojawapo ya nchi zilizo juu sana kidijitali ila bado ni nchi isiyo na demokrasia.
 
Kwa sababu mataifa siku zote yanaangalia maslahi yao kwanza ndipo mambo mengine yanafuata.

Ndio maana unaona US wameenda kufanya mazungumzo na Maduro wa Venezuela vita ya Urusi na Ukraine ilipoanza.
Naomba umuulize balozi kwanini wanasupport nchi ambazo hazina demokrasia kama Tanzania?
 
Tuko pamoja, nafatilia mjadala hapa nakula madini.
 
Going Digital is the way to Go and the only way which might guarantee the People have Real Power, I might call it Power at your Fingertips....

 
Sidhani kama demokrasia imepewa kipaumbele hapa nchini kwetu zaidi ya ukandamizaji tu sijui tunakwenda wapi
Shemu, Mitandao ya kijamii imesaidia kukuza Demokrasia.

Sasa hivi watu wanafuatilia matukio mbalimbali live kwa kutumia simu tu

Wanashiriki midahalo na mada mbalimbali kwenye mitandao ya Kijamii.

Tungekuwa wapi isingekuwepo?
 
Ingekuwa hivyo China na Russia
 
Platforms kama hizi ndiyo zinatufundisha umuhimu wa utawala wa ki demokrasia.

Tunawashukuru washiriki wote.
 
Shemu, Mitandao ya kijamii imesaidia kukuza Demokrasia. Sasa hivi watu wanafuatilia matukio mbalimbali live kwa kutumia simu tu. Wanashiriki midahalo na mada mbalimbali kwenye mitandao ya Kijamii. Tungekuwa wapi isingekuwepo?
Ni kweli demokrasia inakua lakini tatizo ni perception ya viongozi wa kisiasa, wengi wao huwa wanaangalia maslahi binafsi kabla ya kuanza kuruhusu haki ya kutumia mitandao kujieleza.
 
Shemu, Mitandao ya kijamii imesaidia kukuza Demokrasia. Sasa hivi watu wanafuatilia matukio mbalimbali live kwa kutumia simu tu. Wanashiriki midahalo na mada mbalimbali kwenye mitandao ya Kijamii. Tungekuwa wapi isingekuwepo?
Sikatai, najua kwa sehemu fulani imesaidia ila bado demokrasia inaendeelea kukandamizwa ingawaje mitandao imeweka peupe na bayana.
 
Unadhani ni kwa nini unaamini hivyo?
Digitali imesaidia kuonyesha jinsi demokrasia ikikandamizwa wale wanaoinuka kutetea uhuru wa kitu fulani wanakandamizwa, ilhali wako huru kutoa madukuduku yao na kuleta maslahi kwa taifa
 
Ingekuwa hivyo China na Russia
Kwamba China wamekwenda Digital katika Demokrasia ?

Demokrasia ina matatizo yake mengi na pia ina faida kubwa sana..., Demokrasia ya kweli sehemu nyingi imekuwa nadharia ile total inclusion haipo,

The Real people hawana Power sababu its unpractical kuwa hivyo

Na hapo ndio teknolojia inaweza kusaidia kufanya ile reach ya maamuzi kuwafikia watu na sio wachache kufanya dictatorship yao kwa mwanvuli wa demokrasia.

Hata Uchaguzi tu ni mojawapo ya huu Uongo Duniani Kote...,

Sio kweli kwamba wananchi ndio wanamchagua Rais..., ukweli ni kwamba Nominators wanaochagua Nominees katika vyama ndio wanachagua Rais huku wananchi wanapewa options tu between ya kile wachache walichokichagua....

Technology has a chance to rectify all that... In short technology can assist the betterment of all works of life
 
Hivi ni vikao kama vikao vingine tu
Mitandao sijui digitali inakuza demokrasia ni % ndogo sana
Comments za kujenga kukosoa aina fulani fulani mods mnazibana sana humu
* mpunguze kuchokonoachokonoa kwenye niniliii za watu hapo ndipo tutaanza kuimba mapambio so far badoooo sana..
 
Kwa sababu mataifa siku zote yanaangalia maslahi yao kwanza ndipo mambo mengine yanafuata.

Ndio maana unaona US wameenda kufanya mazungumzo na Maduro wa Venezuela vita ya Urusi na Ukraine ilipoanza.
Hatari sn
 
NI shida sn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…