ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Mgogoro wa Congo DR hatuhitaji mazungumzo ili kupata suluhu,
Maadui wa Congo DR ni wajumbe wa huo mkutano ni wazi kuwa ni Kagame na Mseveni, Sasa hawa ndo wapo kinafiki ati wanashauri mbinu za mapatano.
Yaani wakuu wa nchi wanaitisha mazungumzo dhidi ya waasi wa M 23 Kwa maana wameshindwa kutuma majeshi kuwafyekelea mbali hao waasi.
Wawambie wazi washirika wa M 23 ambao ni Rwanda na Uganda kuacha huo mpango wao mara 1
EAC haina nguvu kabisa, kama nchi zenyewe zinavamiana wao Kwa wao
Kenya Sasa anaingia Congo kuungana na Rwanda na Uganda kuleta machafuko na kuchota madini, Kenya hajacheza na fursa. Hapo msamalia ni Samia na Ndayishimye tu
Hakuna suluhu Congo DR huo ni unafiki
Maadui wa Congo DR ni wajumbe wa huo mkutano ni wazi kuwa ni Kagame na Mseveni, Sasa hawa ndo wapo kinafiki ati wanashauri mbinu za mapatano.
Yaani wakuu wa nchi wanaitisha mazungumzo dhidi ya waasi wa M 23 Kwa maana wameshindwa kutuma majeshi kuwafyekelea mbali hao waasi.
Wawambie wazi washirika wa M 23 ambao ni Rwanda na Uganda kuacha huo mpango wao mara 1
EAC haina nguvu kabisa, kama nchi zenyewe zinavamiana wao Kwa wao
Kenya Sasa anaingia Congo kuungana na Rwanda na Uganda kuleta machafuko na kuchota madini, Kenya hajacheza na fursa. Hapo msamalia ni Samia na Ndayishimye tu
Hakuna suluhu Congo DR huo ni unafiki