Mohamed Said JF-Expert Member Joined Nov 2, 2008 Posts 21,967 Reaction score 32,074 Dec 9, 2022 Thread starter #2 Nimefanya mahojiano mafupi na TBC kuhusu upungufu ulioko katika historia ya TANU ambako wapigania uhuru wengi historia zao hazifahamiki. Kipindi hiki kimekusudiwa kurushwa katika Taarifa ya Habari ya leo saa moja usiku.
Nimefanya mahojiano mafupi na TBC kuhusu upungufu ulioko katika historia ya TANU ambako wapigania uhuru wengi historia zao hazifahamiki. Kipindi hiki kimekusudiwa kurushwa katika Taarifa ya Habari ya leo saa moja usiku.