Mazungumzo na M23 hayatakaa yatokee

Mazungumzo na M23 hayatakaa yatokee

MBOKA NA NGAI

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2025
Posts
350
Reaction score
576
Lambert MENDE, aliwahi kusema haya:


View: https://x.com/JKapitene/status/1888165972340584920

Mmeuliza kama hakuna haja ya kuzungumza na kukubaliana na M23. Nimesimama hapa na niongee kwa kauli ya kipekee: Ni kwamba, miaka ya nyuma mpaka hapa tulipo, makosa yalifanyika.

Kuamini kwamba tunaweza kuwakaribisha jeshini, kundi la wahuni, wasio na uzalendo, halafu wahisi kwamba ni rahisi kihivo kuwakaribisha? Haiwezekani. Jeshi linatakiwa kuwa imara,lililoundwa na wazalendo wa kweli.

Watu hao, kuna kazi nyingine wanaweza kufanya; wanaweza kuwa wajasiliamali, wanaweza kusoma, wanaweza kulima na mengineyo. Lakini, ili uingie kwenye jeshi la kulinda taifa, kutakuwa na vigezo kwanza. Na watu wa M23, hivyo vigezo hawana, hawastahili kuwa sehemu ya jeshi la nchi.

Kwa kifupi, hakuna mazungumzo na hao watu. Vita vitakaa miaka mia,tupo tayari, lakini hatutakaa tuweke mdudu kwenye tunda la nchi. Haitakaa itokee kukalibisha maagent wa wanyama wakali ili wao ndo wawe na jukumu la kulinda usalama wetu. Hilo kosa halitokaa litokee tena. Kwa kifupi, hatutawahi kukaa meza ya mazungumzo na waharifu.

Je, aliongea yeye kama yeye,au aliongea baada ya kukaa na Boss wake! Hatma ya kauli hii ni nini!!!
 
Je, aliongea yeye kama yeye,au aliongea baada ya kukaa na Boss wake! Hatma ya kauli hii ni nini!!!
kwa sasa hawana namna. wametakiwa kukutana haraka sana na M23 chini ya azimio #14 la kikao cha leo cha EAC-SADC. usiyempenda kaja.
 
Lambert MENDE, aliwahi kusema haya:


View: https://x.com/JKapitene/status/1888165972340584920

Mmeuliza kama hakuna haja ya kuzungumza na kukubaliana na M23. Nimesimama hapa na niongee kwa kauli ya kipekee: Ni kwamba, miaka ya nyuma mpaka hapa tulipo, makosa yalifanyika.

Kuamini kwamba tunaweza kuwakaribisha jeshini, kundi la wahuni, wasio na uzalendo, halafu wahisi kwamba ni rahisi kihivo kuwakaribisha? Haiwezekani. Jeshi linatakiwa kuwa imara,lililoundwa na wazalendo wa kweli.

Watu hao, kuna kazi nyingine wanaweza kufanya; wanaweza kuwa wajasiliamali, wanaweza kusoma, wanaweza kulima na mengineyo. Lakini, ili uingie kwenye jeshi la kulinda taifa, kutakuwa na vigezo kwanza. Na watu wa M23, hivyo vigezo hawana, hawastahili kuwa sehemu ya jeshi la nchi.

Kwa kifupi, hakuna mazungumzo na hao watu. Vita vitakaa miaka mia,tupo tayari, lakini hatutakaa tuweke mdudu kwenye tunda la nchi. Haitakaa itokee kukalibisha maagent wa wanyama wakali ili wao ndo wawe na jukumu la kulinda usalama wetu. Hilo kosa halitokaa litokee tena. Kwa kifupi, hatutawahi kukaa meza ya mazungumzo na waharifu.

Je, aliongea yeye kama yeye,au aliongea baada ya kukaa na Boss wake! Hatma ya kauli hii ni nini!!!

Yuko sahihi
 
Lambert MENDE, aliwahi kusema haya:


View: https://x.com/JKapitene/status/1888165972340584920

Mmeuliza kama hakuna haja ya kuzungumza na kukubaliana na M23. Nimesimama hapa na niongee kwa kauli ya kipekee: Ni kwamba, miaka ya nyuma mpaka hapa tulipo, makosa yalifanyika.

Kuamini kwamba tunaweza kuwakaribisha jeshini, kundi la wahuni, wasio na uzalendo, halafu wahisi kwamba ni rahisi kihivo kuwakaribisha? Haiwezekani. Jeshi linatakiwa kuwa imara,lililoundwa na wazalendo wa kweli.

Watu hao, kuna kazi nyingine wanaweza kufanya; wanaweza kuwa wajasiliamali, wanaweza kusoma, wanaweza kulima na mengineyo. Lakini, ili uingie kwenye jeshi la kulinda taifa, kutakuwa na vigezo kwanza. Na watu wa M23, hivyo vigezo hawana, hawastahili kuwa sehemu ya jeshi la nchi.

Kwa kifupi, hakuna mazungumzo na hao watu. Vita vitakaa miaka mia,tupo tayari, lakini hatutakaa tuweke mdudu kwenye tunda la nchi. Haitakaa itokee kukalibisha maagent wa wanyama wakali ili wao ndo wawe na jukumu la kulinda usalama wetu. Hilo kosa halitokaa litokee tena. Kwa kifupi, hatutawahi kukaa meza ya mazungumzo na waharifu.

Je, aliongea yeye kama yeye,au aliongea baada ya kukaa na Boss wake! Hatma ya kauli hii ni nini!!!


..huyo bwana yuko sahihi.

..wanajeshi wa M23 wawe demobilized na walipwe kiinua mgongo.

..jeshi la taifa li-recruit vijana wapya kutoka Mashariki ya DRC ambao hawajawahi kujihusisha na maasi.

..askari toka kundi la waasi sio rahisi kuwa mtiifu kwa jeshi la taifa la DRC, uwezekano mkubwa atawasikiliza waliomuingiza katika uaskari.
 
kwa sasa hawana namna. wametakiwa kukutana haraka sana na M23 chini ya azimio #14 la kikao cha leo cha EAC-SADC. usiyempenda kaja.
Kwa mfano unakaa na M23 unaongeanao nini? Wao wanachofaka wawe sehemu ya Serikali na pia wale wanajeshi waingizwe jeshini lakini hawataki muanze kuwaamisha kuwapeleka waende upande wa West wao wanataka kubaki mashariki wa DRC tu! Embu nambie wewe kama Rais utakubali kuwaweka Serikalini watu bao unaamini ndiyi watoa siri za nchi?
 
Kwa mfano unakaa na M23 unaongeanao nini? Wao wanachofaka wawe sehemu ya Serikali na pia wale wanajeshi waingizwe jeshini lakini hawataki muanze kuwaamisha kuwapeleka waende upande wa West wao wanataka kubaki mashariki wa DRC tu! Embu nambie wewe kama Rais utakubali kuwaweka Serikalini watu bao unaamini ndiyi watoa siri za nchi?
Usichoelewa nini kiongozi?

mbona mambo yako wazi tu apo.

ni hivi m23 WAMEKUBALIKA KUWA NI WAKONGOMAN - ndomaana raisi wa kongo ameambiwa AKAE NAO wayajenge.

kama m23 wangekuwa SIO WAKONGOMAN wangeambiwa waondoke kongo.
 
Usichoelewa nini kiongozi?

mbona mambo yako wazi tu apo.

ni hivi m23 WAMEKUBALIKA KUWA NI WAKONGOMAN - ndomaana raisi wa kongo ameambiwa AKAE NAO wayajenge.

kama m23 wangekuwa SIO WAKONGOMAN wangeambiwa waondoke kongo.
Laurent Nkunda alikuwa mwanajeshi wa Jeshi la Rwanda (RDF) katika miaka ya 1990. Alijiunga na RPA baada ya Mauaji ya Kimbari ya 1994 na alipigana upande wa serikali ya Paul Kagame dhidi ya waasi wa Kihutu waliokimbilia Kongo.

Nkunda alifikia cheo cha Kanali ndani ya Jeshi la Rwanda ila mwaka 1998 alitoka tu ndani ya Jeshi la Congo akaenda kuungana na waasi na akashiriki vita ya pili ya Congo 1998 -2003.

Nkunda hakustaafu rasmi katika jeshi la Rwanda na ata baada ya kutolewa hati ya ukamatwaji wake (Arrest warrant) Serikali ya Rwanda ilimchukua na kumuweka kizuizini nchini Rwanda mpaka leo hii na hakuwahi kufikishwa Mahakamani.

Sultani Makenge:- Mwanzilishi wa M23 ambaye kabla hajaanzisha alikuwa mpiganaji wa upande wa waasi RCD-Goma 1998-2003, mara baada ya RCD kuvunjika alijiunga na kundi la Waasi wa CNDP chini ya Laurent Nkunda kiongozi wa CNDP kundi likiloungwa mkono na Rwanda.

Mkuu embu nieleweshe ilikuwaje Nkunda awe mwanajeshi wa Rwanda ilihali ni Raia wa Congo?
 
Back
Top Bottom