Mazungumzo ya robertinyo na pablo baada ya kipigo cha raja

Mr. Sound

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
2,227
Reaction score
4,773
Pablo: hello kaka.

robertinyo: habar gan kaka, naamin unanisikia.

pablo: nakusikia kaka.

robertinyo: mi mzima wa afya mungu anasaidia.

pablo: mi pia mzima kaka, nipe habar za uena fc.

robertinyo: tangu ulipoondoka mahutut anazidiwa.

robertinyo: babra presha presha hatimae akajitoa.

pablo: imekuwaje kaka?

robertinyo: zuwena kaka amebadilikana sana.

pablo: kawaje.

robertinyo: yaan bi zuuh wa leo sio yule wa jana.

robertinyo: juz kafungwa na vitoto vya raja hata hajitambui zuwena.

robertinyo: yaan kafungwa nje ndani wala hajitambui zuwen.

pablo: dah! Inasikitisha sana.

robertinyo: zuwena wanamuita chawote.

pablo: inatosha kaka, nikutakie siku njema.

robertinyo: sawa, japo bado naduku duku, natamani kusema...

pablo: siku nyingine kaka, nawah kibaruani.

UTHIKU MWEMA WANATHIMBA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…