Mazungumzo yanafanyika kwa Norway kuongeza uzalishaji wa mafuta na gas

Mazungumzo yanafanyika kwa Norway kuongeza uzalishaji wa mafuta na gas

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Mawaziri wa nishati wanaishauri Norway kuongeza uzalishaji wa gas na mafuta ili kuziba pengo la gas na mafuta kutoka Urusi.

Bulgaria na Poland wanategemea kiasi kikubwa cha nishati kutoka Urusi. Hata hivyo hatua za kuongeza uzalishaji zinahitaji michakato, mpaka kufikia michakato hiyo labda itakua ni kwa wakati wa kipupwe.

Hii ni habari nzuri kwa uchumi wa Norway na ajira zitaongezeka sana.
 
KUNA MPUMBAVU MMOJA ALISEMA URUSI WAKIENGULIWA BASI KOMBE LA DUNIA HALITAFANYIKA😃😃😃

FIFA WAMEWATOA URUSI NA SOON KOMBE LA DUNIA LITAFANYIKA. YULE NI KICHAA AISEE
 
Mawaziri wa nishati wanaishauri Norway kuongeza uzalishaji wa gas na mafuta ili kuziba pengo la gas na mafuta kutoka Urusi.

Bulgaria na Poland wanategemea kiasi kikubwa cha nishati kutoka Urusi. Hata hivyo hatua za kuongeza uzalishaji zinahitaji michakato, mpaka kufikia michakato hiyo labda itakua ni kwa wakati wa kipupwe.

Hii ni habari nzuri kwa uchumi wa Norway na ajira zitaongezeka sana.
Sasa huu ndio ulikuwa wakati muafaka wa kufaidi gesi yetu!! Vijana wa mama wanaruka na helicopter tu badala ya kuwa wabunifu!
 
Mawaziri wa nishati wanaishauri Norway kuongeza uzalishaji wa gas na mafuta ili kuziba pengo la gas na mafuta kutoka Urusi.

Bulgaria na Poland wanategemea kiasi kikubwa cha nishati kutoka Urusi. Hata hivyo hatua za kuongeza uzalishaji zinahitaji michakato, mpaka kufikia michakato hiyo labda itakua ni kwa wakati wa kipupwe.

Hii ni habari nzuri kwa uchumi wa Norway na ajira zitaongezeka sana.
Kuziba pengo la 40% si mchezo ujue?
Watayakamua yaishe miaka miwili na Norway nae aingie kwenye utegemezi kama wenzake acha wampe kichwa, kama reserve yake ndogo bora aitumie mwenyewe tu
 
Sasa huu ndio ulikuwa wakati muafaka wa kufaidi gesi yetu!! Vijana wa mama wanaruka na helicopter tu badala ya kuwa wabunifu!
"ges yetu ipi ebow wachukuwe udongo wa makinikia wa kuachie gesi w anaumwa we utanusishwa harufu ya asali kinyeresi one "
 
Gesi ya mtwara ambayo hta mmakonde wa uko haimnufaishi huo uwezo wa kuusambaza ulaya Tanzagiza inautoa wapi uwezo wetu ni kuigiza bongo move na akina Juma lokole kwishney marigia

Juma Lokole yupo Arusha leo kwenye uzinduzi wa royo tuwa, posho yake sasa..!!
 
Kuziba pengo la 40% si mchezo ujue?
Watayakamua yaishe miaka miwili na Norway nae aingie kwenye utegemezi kama wenzake acha wampe kichwa, kama reserve yake ndogo bora aitumie mwenyewe tu
wange kuwa nayo wange ongeza uzalishaji kitambo! hayo maneno ya kuongeza uzalishaji ni uhuni tu kama uhuni mwingine
 
Juma Lokole yupo Arusha leo kwenye uzinduzi wa royo tuwa, posho yake sasa..!!
Hoi nchi ni ya ajabu sana mkuu ndyo maana alitokea mwendawazimu1 uko Loliondo akawanywesha mkojo wote[emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom