Kisa kaandikwa alieimba ni Diamond Ila alieimba sio Diamond jamaa yupo sahihi alichokosea ni kutokumtaja YouTuber alieandika hizo details kwenye channel ya YouTubeYani diamond kweli anachukiwa na watu. Kosa sio lake yet analaumiwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pole saana"Google wimbo huu wa Mapenzi Kitu gani au ingia YouTube halafu ataona. Nenda kwenye more Information utaona jina la Msanii aliyeimba wimbo huu imeandikwa jina la #DiamondPlatnumz. Ubunifu kama huo lakini nikitaka kuutumia napigwa stop. Unapotaka kuutumia kwa ajili ya maisha ya familia ili nipate kitu chochote siwezi"
"Na wakati natunga huu wimbo mwaka 2008. Diamond alikuwa bado Sana kwenye Muziki. Nina ushahidi wote kuhusu huu wimbo tangu sikubya kwanza naandika mashairi. Producer alikuwa Man Water. Nilijaribu kuzungumza na management yake lakini nilikosa nafasi. Nilikwenda COSOTA namshukuru Madam Doreen alipambana kwa nafasi yake. Walifuatilia mwaka mzima bila mafanikio yoyote. Kuna kiongozi mmoja Serikalini aliniita nikajua nitapata haki yangu lakini nikaambia niachane na paste niangalie future"
"Nikiusikia huu wimbo unalia huwa nakaa chini nafikiria hata maisha yangu ya kawaida na nyumbani ninavyopambana na familia yangu halafu Mimi siwezi kuiba, kukaba ambacho Mungu amenibariki ni kufanya kitu na kufanya watu waweze kupata burudani.
"Niseme ukweli Ngoma zangu kuanzia Latifa kwenye platform hizi sijawahi kupata pesa. Hakuna audio yangu yoyote ambayo sina leseni zote zimelipia ushuru. Wasanii wengi wa Bongo wanadhulumika lakini haki zao za msingi hawazipati" @mbdogg_Master
Yeye ndiye afanye juhudi kumtafuta mh apate msaada....... anyway kwani sheria kuhusu hatimiliki si zinagusa mpaka kwa wasanii ?Sasa Mwana fa ana faida gani kama hata huyu analia Lia Kwa media??
Iringa ila alikimbia aliogopa kuliwa s unajua wahehe na dogSasa mtu unajiita sijui dog, sa hapo itakuaje
Hivi anatoka mkoa gani huyo dog
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Iringa ila alikimbia aliogopa kuliwa s unajua wahehe na dog
Huyu naye shida.Huo wimbo nimeusikia 2007 yeye anasema aliutunga 2008."Google wimbo huu wa Mapenzi Kitu gani au ingia YouTube halafu ataona. Nenda kwenye more Information utaona jina la Msanii aliyeimba wimbo huu imeandikwa jina la #DiamondPlatnumz. Ubunifu kama huo lakini nikitaka kuutumia napigwa stop. Unapotaka kuutumia kwa ajili ya maisha ya familia ili nipate kitu chochote siwezi"
"Na wakati natunga huu wimbo mwaka 2008. Diamond alikuwa bado Sana kwenye Muziki. Nina ushahidi wote kuhusu huu wimbo tangu sikubya kwanza naandika mashairi. Producer alikuwa Man Water. Nilijaribu kuzungumza na management yake lakini nilikosa nafasi. Nilikwenda COSOTA namshukuru Madam Doreen alipambana kwa nafasi yake. Walifuatilia mwaka mzima bila mafanikio yoyote. Kuna kiongozi mmoja Serikalini aliniita nikajua nitapata haki yangu lakini nikaambia niachane na paste niangalie future"
"Nikiusikia huu wimbo unalia huwa nakaa chini nafikiria hata maisha yangu ya kawaida na nyumbani ninavyopambana na familia yangu halafu Mimi siwezi kuiba, kukaba ambacho Mungu amenibariki ni kufanya kitu na kufanya watu waweze kupata burudani.
"Niseme ukweli Ngoma zangu kuanzia Latifa kwenye platform hizi sijawahi kupata pesa. Hakuna audio yangu yoyote ambayo sina leseni zote zimelipia ushuru. Wasanii wengi wa Bongo wanadhulumika lakini haki zao za msingi hawazipati" @mbdogg_Master
Hata Mimi nashangaa,Kuna dogo mmoja classmate wa kina Jeff Lea akipenda kuuimba 2006 hiyoMmmh mwamba kaanza kudata au, mbona huu wimbo upo kwenye album ya "si uliniambia" na hii album ilitoka around 2005 au 2006. Yeye anasema aliutunga 2008[emoji16]View attachment 2687366
Yaani hapo iko hivi:
Kuna YouTuber anajiita zerokay18 ame upload wimbo wa Mapenzi kitu gani wa msanii MB Doggy hafu yeye kaandika muimbaji ni Diamond Platnumz.
Kwahiyo kwenye makosa hapo ni zerokay18 na Diamond hafaidiki kitu hapo.
😄😄😄Bwana mdogo Kwevo (Quavo) .Asake wa tandale mwizi sana?
Kwa kweli, wakati wao walikuwa wachoyo kweli kusaidia underground kama Kama Yule wa mwanza mwenye mindevu , zee zima kujigonga kwa mtoto.Wasinii wa zamani bhana pesa walipata wakachezea walifikiri labda watafanya mziki mpaka uzeeni na kubaki kwenye chati wao nikuponda raha tu.
Sasa hivi wanaibuka kutokea kwenye mashimo kila mmoja kwa wakati wake,nao wakitoka huko target yao ni Diamond..