MB MAX wanataka nisilale kabisa Leo

MB MAX wanataka nisilale kabisa Leo

Hivi yule dogo si ndio alibaki mwenyewe kwenye tanka mwishoni kabisa baada ya waffen ss kukichafua ile mbaya
Yah Mjerumani alimuona akamsamehe nadhani kutokana na umri au Ile kusema wema wapo
 
Yah Mjerumani alimuona akamsamehe nadhani kutokana na umri au Ile kusema wema wapo
Aisee ,umenikumbusha niitafute bonge la movie hiko kipande cha Jarumani kumuona dogo alafu akapiga kimnya umenikumbusha miaka kama 15 nyuma ,

Kitaani natembea ghafla nikaona dogo anakuja mbio kachanganyikiwa ,kumbe ni mwizi na walikua wanafukuza kimnya kimnya waue , huruma tu ya ubinadamu ikaniingia ,

Nilimuona dogo anaingia kwenye kichaka fulani huku shahidi nikiwa mimi tu ,njemba kufika ndio nikazidi kujua nia yao ni uhai walitafuta huku wakitweta haiwezekani mabata yetu kila siku yaibiwe,

Ndipo mmoja akaniuliza hujamuona dogo kavaa tisheti nyekundu hapa,

Nilikataa kata kata kabisa yani huku dogo najua kabisa alipo.
 
Aisee ,umenikumbusha niitafute bonge la movie hiko kipande cha Jarumani kumuona dogo alafu akapiga kimnya umenikumbusha miaka kama 15 nyuma ,

Kitaani natembea ghafla nikaona dogo anakuja mbio kachanganyikiwa ,kumbe ni mwizi na walikua wanafukuza kimnya kimnya waue , huruma tu ya ubinadamu ikaniingia ,

Nilimuona dogo anaingia kwenye kichaka fulani huku shahidi nikiwa mimi tu ,njemba kufika ndio nikazidi kujua nia yao ni uhai walitafuta huku wakitweta haiwezekani mabata yetu kila siku yaibiwe,

Ndipo mmoja akaniuliza hujamuona dogo kavaa tisheti nyekundu hapa,

Nilikataa kata kata kabisa yani huku dogo najua kabisa alipo.
Siwapendi wezi lakini ningefanya kama ulivyofanya
Huenda alibadilika huko mbeleni
Tafuta na "the covenant"humo Kuna mtu anaitwa Dar Salim movie Moja hatari sana
 
Back
Top Bottom