Graca JF-Expert Member Joined Apr 24, 2011 Posts 471 Reaction score 152 Dec 24, 2012 #1 helo wakuu... kwa mwenye ufahamu wa gradimg za udsm anifafanulie maana kwenye mfumu wa matokeo wa chuo unanichanganya. mfano mtu umepata C unawekewa PASS wakati prospectus inaonyesha ni fail.. msaada wadau.
helo wakuu... kwa mwenye ufahamu wa gradimg za udsm anifafanulie maana kwenye mfumu wa matokeo wa chuo unanichanganya. mfano mtu umepata C unawekewa PASS wakati prospectus inaonyesha ni fail.. msaada wadau.
T Tofty JF-Expert Member Joined Nov 6, 2008 Posts 206 Reaction score 13 Dec 25, 2012 #2 Hio ni system failure ya ARIS. Mwisho wa siku C ni Fail. Muulize swali hili Dr. Mbamba (Dean) na atakupa ufafanuzi zaidi.
Hio ni system failure ya ARIS. Mwisho wa siku C ni Fail. Muulize swali hili Dr. Mbamba (Dean) na atakupa ufafanuzi zaidi.
F frakitosho JF-Expert Member Joined Dec 13, 2012 Posts 802 Reaction score 256 Dec 25, 2012 #3 C ni fail jiandae tu na sup
Perry JF-Expert Member Joined Feb 24, 2011 Posts 10,058 Reaction score 2,195 Dec 25, 2012 #4 Jiandae na mechi za mtoano mkuu!