Wadau, habari zenu.
Jamani kati ya hizo hapo option za MBA, ipi ipo hot mtu akiamua kuopt? Natakiwa kuchagua among those option.
Sina Background ya chochote kati ya hicho, ila nafanya MBA, na sasa muda wa kuchagua umefika, kwangu mimi nataka hot cake option kwa mazingira ya Tanzania, msaada wenu katika kuchambua hizo kozi utapokelewa na kufanyiwa kazi.
Thanx in advanced
Jamani kati ya hizo hapo option za MBA, ipi ipo hot mtu akiamua kuopt? Natakiwa kuchagua among those option.
Sina Background ya chochote kati ya hicho, ila nafanya MBA, na sasa muda wa kuchagua umefika, kwangu mimi nataka hot cake option kwa mazingira ya Tanzania, msaada wenu katika kuchambua hizo kozi utapokelewa na kufanyiwa kazi.
Thanx in advanced