Mba unanikosesha raha, msaada niweze kuukomesha.

Mba unanikosesha raha, msaada niweze kuukomesha.

Pate_15

Senior Member
Joined
Oct 26, 2013
Posts
156
Reaction score
48
Habari zenu wadau,
Tatizo langu ni kuwa na mba wanaojirudia rudia,nikitumia dawa wanaisa na baada ya mda mchache wananirudia tena.

nimewahi kutumia dawa za vidonge (sijui zinaitwaje kitaalam),dawa ya kupaka (ya tube pia ya maji)

pia nimeshawahi kupima ngozi na magonjwa ya zinaa, niko salama kwa hilo.
wataalam, naomba mnisaidie kwani sasa wamekuja kwa hari na nguvu mpya hadi kichwani.(mwili mzima)
nawasilisha
 
Back
Top Bottom