Everything goes according to matakwa yake tu, na mara nyingi mtu wa hivo huwa anajiona kuwa kila kitu akijua yeye!! Na hata hicho anachokijua(even if yuko wrong) basi hulazimisha iwe hivyo tu, na mara nyiingi hu-deny ideas/experiences za upande wa pili!!!
kila kitu anaamua yeye hadi jinsi ya kula tundiii