JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
Beforward hawana asee ,
ππ Na Mwisho wa siku uliishia kuwapuliza wote mzee wkt wakiendelea kushangaa milango.watu walikuwa wanajua hata mie gari yangu milango mibovu kumbe ni uzito tu Audi na BMW
Walikuwa wanalegea wenyewe tu , na mie sina hiyana napulizaaa tu πππππ Na Mwisho wa siku uliishia kuwapuliza wote mzee wkt wakiendelea kushangaa milango.
Zitakuwa chache sana, na bado zilizopo zimetembea sana. Nataka walau gari chini ya 40,000kmDah kweli aiseee. You should try site zingine za japan.
na ikatokea nikapata LC 300 uwiii nitauaaaa aseee ππππππ Na Mwisho wa siku uliishia kuwapuliza wote mzee wkt wakiendelea kushangaa milango.
πππ Nimekutana nazo juzi mbili zimetoka Bandarini nadhani zinapelekwa Congo/Rwanda,mniombeeeeeee.na ikatokea nikapata LC 300 uwiii nitauaaaa aseee ππππ
kwenye hili kila mtu ajiombeee, nitaweka kabisa na plate number ya jina, niwapulize vizuri ππππππ Nimekutana nazo juzi mbili zimetoka Bandarini nadhani zinapelekwa Congo/Rwanda,mniombeeeeeee.
ππNa utawapuliza kichizi,Kama yule Mbunge Musukuma analo la 2008 huko na ameliweka jina lake KING M na mpulizo Kule kwa wasukuma Ni Kama kawa,ukiweka Hilo LC00 utawauaaaaa.kwenye hili kila mtu ajiombeee, nitaweka kabisa na plate number ya jina, niwapulize vizuri πππ
Nissan hapo katuliza akili.GT-R habari ingine πππ
Hapa itaanza vita kati ya wajerumani vs mjapan
HaipindukiUzalishaji wake ulianza 2005 Hadi 2009 si mwingine mbali ni mnyama WA barabarani nissani fuga GT 450 popote apitapo maajabu yake yanasimuliwa mpaka Kwa majirani huku kukiwa na matokeo matatu
GT 250
GT 350
GT 450
Ukilipata hili GT 450 sports version vita yake si ya kitoto barabarani
Hio M5 inakula speedcars zote za kwenye class yake with Twin turbo 4.4 V8 ila sio huyo 540i ambaye hana maajabu sana ana 335HP na mwenzie 520i ana 248HP!Fuga anafugwa humu kama mtoto mdogo
View attachment 2025812
wa kupuliza
Mad Max
Extrovert
πππππ
Lenyewe halina mavimulimuli likianza kutoa maalama sijui kama kuna fundi wa kuyatoa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Leo taa ya abs kesho ya oilAiseee 5 series anzia F10 ambazo zimeanzia mwaka 2010...
E60 ina malamiko mengi kuanzia kwenye performance mpaka usalama.
Matoleo ya nyuma ya 5 series kama E34 sijajua yanaperform vipi.
Taa za mti wa X-masLenyewe halina mavimulimuli likianza kutoa maalama sijui kama kuna fundi wa kuyatoa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Leo taa ya abs kesho ya oil
SBT nimeona 2.0 TFSI ina 44,000km bila wakina Zakayo kuweka mkono inataka Kam USD 14500.Beforward hawana asee ,
Lenyewe halina mavimulimuli likianza kutoa maalama sijui kama kuna fundi wa kuyatoa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Leo taa ya abs kesho ya oil
Inabidi uvute VW Scirocco ingekufaa Zaidi au ulifanyia tathimini ukaipiga chini.Nafikiri pia hizi Audi zipo chache Wagon moja ndio nimeona TFSI, hizi sedani zote nilizo ziona ni FSI ila zote ni 3.0L
Yes Option ya BMW ndio ataipata kwa haraka na atakuwa na machaguo mengi....Holy Man achana na Audi ya nini?
Chukua F30 ya 2013 tu. Hafu uzuri wa F series zote ni turbo, huna haja ya kuchukua cc3000 maana Wajerumani washafanya yao, cc2000 tu mziki wake hauguswi na mjapan wa cc3500.
Mfano, 2013 BMW F30 320 N20 yenye cyl 4 inakutosha kabisa.
Ila Miraba apo kasema kama unataka 6 cyl hapo ni N55, S55 au 58 zote izo 3000cc petroleum.
Ndani F30 ni kama cockpit ya Lockheed Martin F22 Raptor.