Mbabe wa barabarani, wengine ni hamna kitu

Nissan yoyote kwenye mwinuko au milimani hakuna kitu advantage ya Nissan ni kwenye Tambalale na miteremko
 
Hio M5 inakula speedcars zote za kwenye class yake with Twin turbo 4.4 V8 ila sio huyo 540i ambaye hana maajabu sana ana 335HP na mwenzie 520i ana 248HP!
335HP za mzungu, Fuga anaweka wapi hapo mguuu ? hapa bongo ukiwa na mdudu anacheua hizo 335HP unakuwa mbabe sanaa tu hasa kisaani kinaenda hadi 280kmh
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Lockheed Martin eeh! Nataka chombo ya mzungu ina 6 cyl, cc kuanzia 3000+, plus twin turbo mzeee
 

Anakuja kumlamba lolo F30 mapema mnoπŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…