Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Kwanini gari za kigermany hata zikiwa na cc kubwa but ulaji wa wese unakua kawaida tofauti na za kijapan?
Nafikiri ni Teknolojia zinazotumika, pia wanapambana na udhibiti wa uharibifu wa mazingira. Ndio maana hata toyota nae akaja na VVT-iKwanini gari za kigermany hata zikiwa na cc kubwa but ulaji wa wese unakua kawaida tofauti na za kijapan?
BMW inapoishia, Porsche ndo anapoanzia.Porsche sijawai zifatilia hizi gari kabisa, ingawa nasikia mziki wake sio wa kitoto
Ufike hiyo speed ukiwa na gari za japan ndo unabip kifo.Hiyo speed kwa barabara zetu za Bongo na uendeshaji wetu usiozingatia sheria ni sawa na Kubeep kifo tu!
Unavuruga matuta kama huna akili nzuriNyie hangaikeni na hizo fuga. Ila ukitaka kuwahi na kuwa na unyama mwingi njiani hii ndio itakuwa baba lao. Kibao cha hamsini hii unaingia na 160kph kama mweweView attachment 2026295
Mimi nikipata huyu [emoji116][emoji116][emoji116]Nyie hangaikeni na hizo fuga. Ila ukitaka kuwahi na kuwa na unyama mwingi njiani hii ndio itakuwa baba lao. Kibao cha hamsini hii unaingia na 160kph kama mweweView attachment 2026295
Kwa hiyo ukipewa Toyota crown mwingine ana Audi A8 quadro utashinda Tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Leo nitarudia kusema ambacho niliwahi kusema humu ndani.
It doesn't matter what's under the hood. The only thing that matters is who is behind the wheel.
Kwa barabara za bongo, njoo na gari yoyote unayoijua wewe, mimi, nipe gari ya kijapan yoyote ya engine ya v6. Ukinishinda utakua umenishinda kwenye udereva, sio uwezo wa gari
Barabara zetu bongo haziexhaust potential ya gari, hakuna barabara yenye kukupa full potential ya gari kwa dk 2 mfululizo.
Zote zinaishia kua average
Inshallah, kilichobaki ni kuzisaka na kusevu mdogomdogo. Option nyingine ni kusubiri after 8 years uje uinunue ikiwa kidogo nakaunafuu ka depreciation.Mimi nikipata huyu [emoji116][emoji116][emoji116]
ntakuwa nmemaliza nilichokijia hapa dunianiView attachment 2026594
Kama ni barabara za bongo, zisifungwe (watumiaji wengine wa barabara waendelee na shuhuli zao kama kawaida), yaani isiwe racing. Tutoke kituo A kwenda B, mathalan dar to singida. Ukija na audi yako ukafika singida kabla yangu nitarudi dar kwa mguu huku nikichapwa viboko 20 kila baada ya km 50Kwa hiyo ukipewa Toyota crown mwingine ana Audi A8 quadro utashinda Tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tafta Lexus LFA mzee ni mjapani anaemwaga moto wa abujaπ€©huyu sio mjapan, umeficha ficha leta picha nzima ya gari hadi staring
Hahahahaha lazma wakuletee figisu unawatesa na gari yakoKabisa aise. Majirani lazima watakuwa wanakuja na notisi ya kukuita serikali ya mtaa kila ukiliwasha alfajiri.
Pa1 mkuu,ila vvt-i ya toyota ya cc 3000 bado ulaji wake unakua mkubwa kwa europe car ya cc 3000,toyota tunazpenda ila zinatunyoosha sana kwenye upande wa wese,toyota ukitaka economy basi ujilipue na vibaby walkerNafikiri ni Teknolojia zinazotumika, pia wanapambana na udhibiti wa uharibifu wa mazingira. Ndio maana hata toyota nae akaja na VVT-i
ipo mifumo mingi mkuu, kadri wanavyo develop ulaji wa wese unapungua.. gari zisizokula sana wese hybrid ila hizi kavu kavu naona haziachani sana, naona kuna VANOS, VITEC, n..k kila moja ina ufanisi wakePa1 mkuu,ila vvt-i ya toyota ya cc 3000 bado ulaji wake unakua mkubwa kwa europe car ya cc 3000,toyota tunazpenda ila zinatunyoosha sana kwenye upande wa wese,toyota ukitaka economy basi ujilipue na vibaby walker
Yaani Nissan Fuga ni mbabe wa nini? Performance au?
Atleast ungesema Skyline.
Yaani leo Infiniti ni mbabe wa barabara?
huyu sio mjapan, umeficha ficha leta picha nzima ya gari hadi staring
hamna pa kujifichia πππ
Haka Kagari Nimekafananisha na Yale nilikua Nayaunda kwa Nyaya utotoni [emoji3][emoji3]Mnyama wa pale kijijini kwetu.
View attachment 2026135