Mbabe wa Dunia wa Mieleka kupigwa dakika 1 na Sec 25 Ni Haki?

Mlaleo

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2011
Posts
14,809
Reaction score
11,825
Baada ya Mbabe wa Zamani kama Miaka Kumi na mbili iliyopita amerejea kwa Kuustusha Ulimwengu yaani ni Shock ya Ajabu baada ya kumgonga Mzee mzima Block Lesner katika Mpambano nilioushuhudia Live asubuhi ya kuamkia Jumapili ya tarehe 21 September 2016..

Hakika me to Japo nilifurahi ila niliboreka kwa muda huo mfupi ikanikumbusha mambo ya Mike Tyson alipompoga Mtu wakati watu wanakata tiketi game ikawa ishaisha Evander alikasirika sana alipohojiwa na akaomba Pambano na kuja Kumshinda Tyson.

Sasa Huyu Mzee wa Miaka 49 tokea alipostaafu na ameamua kurejea kwa kasi hii mbona atawatuliza wengi... maana tokea alipojiuzuru kushiriki Mieleka alikuwa hajawahi poteza Pambano na aliweza kubeba Mikanda yote mikubwa ya Ubingwa wa Mieleka... Baada ya kujitamba kwa muda mrefu hatimae Mbabe kajulikana... Bill Goldberg alidai amerejea baada ya Mwanae kulilia amuone baba akipigana na sio record tu za kitambo... So Hwo is Next.....!

 
Survivor series ya jana ilikuwa nzuri, at least hawakuniiibia usingizi wangu.

Ila nilishangaa kwamba Lesnar alishindwa hata kujikaza kidogo
Pia nikakumbuka kipindi mdogo, Goldberg alikiwa anapiga kila kiumbe kilicho kuwa mbele yake, Lesna was a monster, lakin alipigwa pia.


Hahaha walinikumbusha nilivo kuwa nampenda Gokdberg nikiwa mdogo hawa jamaa, pia walinishangaza mech ilivo kuwa rahisi kwa Goldberg
 
Hii mieleka huonaonekana chennel gani?
 
Kumbe ni haya maigizo wrestling
 
Ile inaitwa 2-0
Ngoja tusubirie wrestlemania mwakani, labda itakuwa mechi ya kibabe zaidi.
Lakini hata mimi hiyo mechi imeniacha hoi dk 1 na sek kadhaa, jamaa kapewa zile spear nini za kutosha
 
Nilikua Mfuatiliaji wa Huuchezo saana , hatimaye nikaja kugunua Siri Nzito .
Huu mchezo ni wa Uwongo/Trained kabisa Kudanganya
Matukio yote yanapangwa Nani Ashinde na Nani ashindwa .
Refaree ni sehemu Kubwa Ya kufacilitate Uwongo wote unaochezwa Uwanjani.
 
Jueni kuwa hii ni entertainment Mimi wala sikushangaa kabisa. Matokea always yanapangwa na hii it was planned too. Brock na goldberg Ni marafiki wa kutupwa and walihitaji kuchangansha SS and since Goldberg Ni undisputed champion ulikuwa lazima ashinde. But for the real fight Goldberg is old hawezi simama na Brock kabisa and I don't see who pale WWE jamaa yuko fiti sana. So mleta mada jua kuwa that'd was planned Ni matokeo ya kupangwa iwe. Vile. Hivi hujiulizi just one spear imlaze Brock why Roman alimpiga kibao hizo na wala hazikufua dafu
 
Hayo Ni Maigizo wanaamua Nani Ashinde na kwa Staili gani. Matokeo huwa tofauti na watakavyo ikitokea mmoja akaumia bahati mbaya katika mechi
 
"Don't try it at home or school"
Ila yale mapambano makubwa ya ubingwa kama vile Wrestlimania, Royal Rambo, etc huwa ni ukweli kabisa.
 
Hizo ni script,game iliyoniuma ni ya sam zayn,.alafu kwenye hii survivor series kutoka mapema kwa sasha bank(the boss),wanabaki watu amabao hata hawauzi move hata moja,.
 
Spears za Goldberg yule wa zamani hamna wa kusavaivu, akikuwahi muda wowote mechi inaishia hapo hapo, haijalishi ndo mmeanza mechi muda si mrefu, ila kw hii ni ngumu kumesa Block Lesnar kudondoshwa na spear moja tena ya uzeeni, lesnar yuko fiti sana na kwa akili yangu spears hata tano + chokes za undertaker + 619 + u cant see me bado hazimtoi mchezoni, so let's enjoy the entertainment.
 
it is all staged mkuu!! in a real sense theres no way Rey Mysterio akampiga Great Khali. umeashamuona Brock 'the pain' Lesnar kwenye ulingo wa MMA!???sio wa kupigwa kama alivyokung'utwa ki softie vile kwenye Survivor Series!

mechi zinatengenezwa kukata kiu ya hype ya hizo mechi zenyewe,kuongea kiwango cha subscribers kwenye PPV, mwisho wa siku ni kama bongo muvi tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…