Lukolo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 5,143
- 3,199
ada ya mja hunena muungwana vitendo
semeni wazi kuwa hamumpendi jk
mbona wakati wa bm hamkuthubutu kusema????
Mzee rukhsa alilizika azimio la arusha mbona hamsemi
chakufahamu hapa ni hata kama sisi wana jf wote hatumtaki pamoja na wasomao magazeti lakini mjue kuna mamilioni ambao wako nyuma yao jee hao wote ni wajinga??????
Hivi ni raisi gani amewahi kuthubutu kuwapeleka mahakamani idadi kubwa ya viongozi tangu tupate uhuru???? Au mlitaka awahukumu kwa kuwaweka kizuizini kama zile enzi???????
Nyerere pia alimpeleka waziri wake mahakamani. If I am not wrong, aliiambia mahakama kazi yake ni kusikiliza shauri lake na kutambua kama ana hatia, halafu kazi ya kumhukumu waiachie serikali. Mahakama ilipothibitisha, Nyerere akaamuru kwa kosa la kudai na kupokea Rushwa jamaa achapwe fimbo 12 hadharani halafu awekwe ndani.
Binafsi nasema JK amejitahidi, na ana kifua kwelikweli. Hawa wanaopiga makelele ni malimbukeni tu maamuzi ya kumchukua partner wako na kumpeleka mahakamani siyo mzaha ati!? Can you imagine, akina Mgonja, Mramba amefanya nao kazi, kakaa nao kwenye baraza moja la mawaziri halafu siku nyingine anawapeleka mahakamani. Is not an easy thing. Tuwe realistic! Tuongee kuhusu kushindwa kumanage uchumi lakini si kupambana na ufisadi. Huyu jamaa ameonyesha uthubutu. Tumuunge mkono, badala ya kumsakama kila kukicha. Toka Nyerere, Jk is the second kuonyesha utayari wa kupeleka wala Rushwa mahakamani. Tumpe support wakuu!