Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
- Thread starter
-
- #81
Kweli wanaume tumeumbwa mateso! Kwanini hizi tiba ni kwa wanaume tu peke yao? Kwakua mimi najua hizi tiba anazoongelea Ruta na nyinginezo ni kua ukishapata unatakiwa usiwe mbali na Ndude! Sasa swali langu ni je hakuna tiba kwa kina Preta na wenzake nao kua wakishatumia na wao wasiwe mbali na kina PJ na kina RUTA?
hizi tiba kama huna ndude hazikuuhusu......tatizo linakuja pale ambapo ndude ipo na haipati huduma elekezi.....ndio swala zima la tiba linapotokea......
(ndude zina balaaaa hizi ndude hizi)
Gaijin,
Bingwa wa Kiswahili hongera sana.
Basi nitakuwa na viagra ya kutosha mwilini maana haya makomamanga nimeyala na pia juisi yake nimekunywa sana
Mimi nilidhani bora kujenga barabara kabla ya kununua gari, kinyume chake nitaiendeshea wapi? lol.
Hiyo hapo juu yote ni mzaha tu. Huku ninakoishi yanapatikana sana na yana matumizi mengi zaidi ya juisi kama vile katika utayarishaji wa saladi, kuchanganya na nyama/samaki, pia kwenye maduka ya dawa za asili komamanga ni chanzo cha tiba ya magonjwa mengi.
Ukiuwekea mbolea na maji ya kutosha, miezi 6 hadi 8 unaanza kutoa matunda!Tangu kuupanda mpaka kuanza kuzaa unachukua muda gani?
Hii itanipa muda wa kupanda na huku ninatafuta kimwana - lol.
Hivi madukani kuna juice hii?:mwaaah:
Kuna "link" ameiweka kwenye thread. Hapo utajuzwa kila kitu!kuna utafiti wowote hapo au yaleyale ya loliondo!
jibaba lizima linatoa michozi kisa ndude.....ha ha ha.....wanaume sijawahi kuwaweza...hakya mama.....
Kwani nyie kina mama huwa hamliliii? Mbona unatusingizia Preta! Uzoefu wangu nyie ndo wenyewe kwa kulilia...usibishe asije jamaa yako akasikia akampa shoga yako ukaanza kulia,lol!
haina caffein ila inasaidia kurejesha mwili katika khali yake ya kimaumbile kwa kusafisha sumu kama vile aina ya detoxification hivi......................haiongzi lolote mwilini zaidi ya kuurejesha kwenye khali yake iliyopaswa kuwa ambayo imeathirika na sumu za vyakula na vinywaji tunavyomeza kila siku. Ndahani
Sasa kwani kuna nguvu za kike?
Mie najua kuna nguvu za kiume tu,nipe darasa mkuu
OTIS