Mimi mstaarabu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 262
- 577
Kuna wimbi kubwa la wafanyabiashara na biashara kwa ujumla kwa maeneo ya Mbagala kata ya Chamazi: Hii ni kutokana na nyomi la watu:
Siku hizi kumekuwa na biashara nyingi sana, sasa kwa anaeogopa kuanza biashara Mbagala fursa ndo hiyo…
Tafuta sehemu ambazo mji umekuwa
Siku hizi kumekuwa na biashara nyingi sana, sasa kwa anaeogopa kuanza biashara Mbagala fursa ndo hiyo…
Tafuta sehemu ambazo mji umekuwa