Rashda Zunde
JF-Expert Member
- May 28, 2022
- 204
- 231
Wananchi wa Mbagala Rangi Tatu Kesho mtaanza rasmi kutumia mabasi ya mwendokasi kutoka Mbagala Hadi viwanja vya Sabasaba yanapofanyika maonyesho ya kimataifa ya biashara ya Dar es Salaam.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ya uhasibu ni ya ajabu nadhani haitakuwa na taa. Standard yake ya ovyo. Sijui labda ni gharama ndogoLakini Barabara hazijatengenezwa kwa kiwango Cha juu kama za Ubungo maji- kariakoo,hizi za mbagala nothing na inasemekana mama hajatoa ela ndo maan zinajengwa nusu nusu na bila standard nzuri hata fly over ya uhasibu nayo haiko poa Kama Tazara
Usisahau na pacha wake pale Chang'ombeHii ya uhasibu ni ya ajabu nadhani haitakuwa na taa. Standard yake ya ovyo. Sijui labda ni gharama ndogo
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Wakanjanja waliuzoom mradi ule wa phase one uliojengwa na kampuni ya ulaya ya Starbag wakaona ahh kumbe ni rahisi namna hii,wakapeana tenda za kishkaji matokeo yake ndio haya kipindi wanafanya ujenzi walikuwa rough rough nikawa najisemea hapa lazima tutie aibuLakini Barabara hazijatengenezwa kwa kiwango Cha juu kama za Ubungo maji- kariakoo,hizi za mbagala nothing na inasemekana mama hajatoa ela ndo maan zinajengwa nusu nusu na bila standard nzuri hata fly over ya uhasibu nayo haiko poa Kama Tazara
tutakomaSi tulimuona jiwe sakala
Awamu ijayo zitabomolewa na kujengwa upya tukichagua rais.tutakoma
Ni kweli kabisa ni SAKALASi tulimuona jiwe sakala
Mbagala Kiburugwa tunalamba asaliWananchi wa Mbagala Rangi Tatu Kesho mtaanza rasmi kutumia mabasi ya mwendokasi kutoka Mbagala Hadi viwanja vya Sabasaba yanapofanyika maonyesho ya kimataifa ya biashara ya Dar es Salaam.
Zitakuja kumaliziwa na Raisi ajae Tundu Antipass Lissu.Awamu ijayo zitabomolewa na kujengwa upya tukichagua rais.