Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Polisi waliotumwa na ccm kama wafanyavyo siku zote, leo wameshindwa kufurukuta baada ya kujaribu kuzuia mkutano halali wa Chadema kwenye uzinduzi wa kampeni za uchaguzi wa wenyeviti wa serikali za Mitaa bila mafanikio
Kutoboka kwa mbeleko ya Polisi kulisababishwa na uimara wa wananchi kupinga mkutano huo kuzuiwa.
#WATAKE WASITAKE
Kutoboka kwa mbeleko ya Polisi kulisababishwa na uimara wa wananchi kupinga mkutano huo kuzuiwa.
#WATAKE WASITAKE