Mbao fc 0 vs 1 Yanga | ASFC | Kirumba Mwanza

Hizi mbao zinatakiwa zipasuliwe mapema
 
Mbao wanacheza kwa umoja sana, wachezaji wote wanapanda na kushuka

Mpira ukirudi eneo lao kushambulia wanashuka wote kukaba, nimependa hii spirit yao
Wasifie hadi mwisho
 
Mayeleeeeeeee.......ooh ni offtagert
 
Ubunifu umepotea pale kati... Mauya ni mzigo wa mwiba ukiubeba unaumia
 
Dakika 37'

Milango bado ni migumu huku kila timu ikijaribu kushambulia wakati yanga ikiongoza mashambulizi na kufika golini kwa mbao mara nyingi zaidi
 
Ubunifu umepotea pale kati... Mauya ni mzigo wa mwiba ukiubeba unaumia
Mapema sana kutoa malalamiko, tulia gemu iishe huwenda wapo wabovu wengine wengi ila hatuja waona kwasababu hawajapata bahati ya kupata mpira katika nafasi nzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…