Mbao vs Yanga

Sasa pesa tumetoa wapi sisi Omba Omba watembeza bakuli?
Kwani haiwezekani mkatembeza bakuli mkapata pesa mnunue mechi?

Kwani mbao wana gharama gani kusema labda utatumia mipesa mingi kama kuwaonga? Wale ni wenzenu tu sema wao hawana mikazo ya kutembeza bakuli hadharani kama nyie

Sent using unknown device
 
Naipenda YANGA
Dakika 24 ·
Uongozi wa klabu ya Yanga kupitia kwa Mratibu wake Hafidh Saleh, umesema umekusanya kiasi cha shilingi milioni 21.377 kutokana na michango mbalimbali ya wanachama na mashabiki wake.

Duh kelele zote ndani ya wiki mbili tunachanga pesa hizo mbona tunamuungusha Kocha na ndoto yake ya kuwa na kikosi bora msimu ujao.
 
Hahaha
MTC | 101| [emoji769]
 
Na wale wanaong’oa viti uwanjani unawaweka kundi gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…