Hahahaaa. Bora umemwambia kipigo cha Mbwa mwizi kinaanzia 05. ππKuwa serious bhana, kipigo cha mbwa mwizi hukijui kweli? Ngoja onikukumbushe ni zile 10-0 mlizofungwa na Ahy pamoja na bamutu ya Kongo AS Vita [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hahahaaa. Maajabu haya Swahiba.
Hahahaa. Kiaje sasa wakati wao goli lao wamelipata First Half?
Halafu sijui kwanini nakufananisha na member flani hivi.... Ila hongereni mlipambana.Hahahaa. Kiaje sasa wakati wao goli lao wamelipata First Half?
MmhMmebanwa hivyo mnapumilia mshine
Anything for love
Ahsante. Tunaukimbilia Ubingwa tu hapa.Halafu sijui kwanini nakufananisha na member flani hivi.... Ila hongereni mlipambana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani na Makambo wenu... Ngoja sisi tuendelee kumpamba MK14 wetu[emoji23][emoji23][emoji23]Ahsante. Tunaukimbilia Ubingwa tu hapa.
ππππ
Uje nawashangaa Mkuu. Omba omba anategemea ye apewe sasa anatowaje kwa mfano.Omba omba ana Mpesa?
Hahahaaaa. Mpambeni tu Babu wenu.Yaani na Makambo wenu... Ngoja sisi tuendelee kumpamba MK14 wetu[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji85][emoji85][emoji1613]οΈβ[emoji3603][emoji1613]οΈβ[emoji3603][emoji1613]οΈβ[emoji3603][emoji1613]οΈβ[emoji3603][emoji1613]οΈβ[emoji3603]Hahahaaaa. Mpambeni tu Babu wenu.
Hahahaaaa.Wewe hukuona kipindi Cha 2 Mbao walivyolegea vile
Kile Ni kiwango Cha Tigo pesa au M pesa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa. Nilimsikia japo nikajikuta namuonea huruma tu sababu alikuwa zaidi ya Mpole.[emoji85][emoji85][emoji1613]οΈβ[emoji3603][emoji1613]οΈβ[emoji3603][emoji1613]οΈβ[emoji3603][emoji1613]οΈβ[emoji3603][emoji1613]οΈβ[emoji3603]
Aliwajibu lakini kuwa yeye ni mtu [emoji3447] kuliko ngenga[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2958]Hahahaaa. Nilimsikia japo nikajikuta namuonea huruma tu sababu alikuwa zaidi ya Mpole.
πππ Hizi sijui kama sio dalili za kuteseka Mtani wangu.Kweli ni timu ya Nchi ya Vyura pale madimbwini
Za kwenye kikapu zimegawanywaOmba omba ana Mpesa?
Nimekuja Dada. πππ
Nawatafuta hawa Kaka zako OKW BOBAN SUNZU na King Ngwaba umewaona? ππ
πππ πππWacha unoko [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23]
Mmmh. Ya Moyoni hii? ππ