Mbao wanavuna walichokipanda. Walianza kufanya makosa kwa kumfukuza ndailagije aliekua akiijenga timu taratibu wakapata bahati wakampata Amri Saidi akaanza na timu vizuri.
Sijui wakawaza nini wakafanya kosa lingine kwa kumletea Ali Bushiri kocha mzoefu aliemzidi elimu ya ukocha eti awe msaidizi wake, akaona anafukuzwa bila kuambiwa akaondoka. Baada ya Amri Saidi kuondoka tu, akaanza kupokea vichapo mpaka hapa walipofika hawana wa kumlaumu zaidi ya kujilaumu wenyewe.
Sijui wakawaza nini wakafanya kosa lingine kwa kumletea Ali Bushiri kocha mzoefu aliemzidi elimu ya ukocha eti awe msaidizi wake, akaona anafukuzwa bila kuambiwa akaondoka. Baada ya Amri Saidi kuondoka tu, akaanza kupokea vichapo mpaka hapa walipofika hawana wa kumlaumu zaidi ya kujilaumu wenyewe.