chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Wanasema msiba mzuri ukiwa kwa jirani yako sababu ujavaa viatu vyake.
Mbaraka Mwinshehe :Mtaa Wa Saba.
Katika wimbo wake huu alizungumzia kuhusu mikosi na nehema alizofanya kuhama.
Tunapo sema ulimwengu wa roho kuna nyumba,eneo,mkoa,kazi,rafiki au mahusiano yanaweza kuwa mtaa wa saba.
Mfano ukashangaa mtu kakomaa dar es salaam kumbe sio ulimwengu wake kwenda mkoa mwengine mambo yake yakabadilika.
Jengine tumejionea nyumba za kupanga,mapenzi,kazi na marafiki ambao wanaweza kugeuka mtaa wasaba.
Mbaraka Mwinshehe :Mtaa Wa Saba.
Katika wimbo wake huu alizungumzia kuhusu mikosi na nehema alizofanya kuhama.
Tunapo sema ulimwengu wa roho kuna nyumba,eneo,mkoa,kazi,rafiki au mahusiano yanaweza kuwa mtaa wa saba.
Mfano ukashangaa mtu kakomaa dar es salaam kumbe sio ulimwengu wake kwenda mkoa mwengine mambo yake yakabadilika.
Jengine tumejionea nyumba za kupanga,mapenzi,kazi na marafiki ambao wanaweza kugeuka mtaa wasaba.