Mbarali: Kijana adaiwa kuchomwa visu sehemu za mwili

Mbarali: Kijana adaiwa kuchomwa visu sehemu za mwili

baba aura

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2023
Posts
254
Reaction score
393
Habari wa kuu, kijana moja anaefahamika kwa jina la meshaki mkazi wa kitongoji cha makondo "A" amechomwa na kisu sehemu kadhaa za mwili na aliyetendanda unyama huu ni jirani take, suala hill limeonekana kufumbiwa nacho na viongozi mtaa pamoja na afisa inasadikika kuwa mtuhumiwa ametoa rushwa ili asifikishwe kwenye vyombo vya sheria na Luna baadhi ya watu wamepewa pesa ili wanyamaze

Naomba mkuu wa kituo cha polisi rujewa afuatilie tukio hill maana ni la kikatili sana

tukio hili limetokea wilayani mbarali kata ya mawindi kijiji cha manienga katika kitongoji cha makondo A
Mode naomba Uzi huu ufikishwe panapo hitajika

*Ofisi ya mkuu wa wilaya mbarali

* Mkuu wa kituo cha polisi kata ya rujewa
 
Habari wa kuu,kijana moja anaefahamika kwa jina la meshaki mkazi wa kitongoji cha makondo "A" amechomwa na kisu sehemu kadhaa za mwili na aliyetendanda unyama huu ni jirani take ,suala hill limeonekana kufumbiwa nacho na viongozi mtaa pamoja na afisa inasadikika kuwa mtuhumiwa ametoa rushwa ili asifikishwe kwenye vyombo vya sheria na Luna baadhi ya watu wamepewa pesa ili wanyamaze

Naomba mkuu wa kituo cha polisi rujewa afuatilie tukio hill maana ni la kikatili sana

tukio hili limetokea wilayani mbarali kata ya mawindi kijiji cha manienga katika kitongoji cha makondo A
Mode naomba Uzi huu ufikishwe panapo hitajika

*Ofisi ya mkuu wa wilaya mbarali

* Mkuu wa kituo cha polisi kata ya rujewa
pole yake
je aliyechomwa visu amefariki?
 
Habari wa kuu,kijana moja anaefahamika kwa jina la meshaki mkazi wa kitongoji cha makondo "A" amechomwa na kisu sehemu kadhaa za mwili na aliyetendanda unyama huu ni jirani take ,suala hill limeonekana kufumbiwa nacho na viongozi mtaa pamoja na afisa inasadikika kuwa mtuhumiwa ametoa rushwa ili asifikishwe kwenye vyombo vya sheria na Luna baadhi ya watu wamepewa pesa ili wanyamaze

Naomba mkuu wa kituo cha polisi rujewa afuatilie tukio hill maana ni la kikatili sana

tukio hili limetokea wilayani mbarali kata ya mawindi kijiji cha manienga katika kitongoji cha makondo A
Mode naomba Uzi huu ufikishwe panapo hitajika

*Ofisi ya mkuu wa wilaya mbarali

* Mkuu wa kituo cha polisi kata ya rujewa
Haki itendeke
 
Habari wa kuu, kijana moja anaefahamika kwa jina la meshaki mkazi wa kitongoji cha makondo "A" amechomwa na kisu sehemu kadhaa za mwili na aliyetendanda unyama huu ni jirani take, suala hill limeonekana kufumbiwa nacho na viongozi mtaa pamoja na afisa inasadikika kuwa mtuhumiwa ametoa rushwa ili asifikishwe kwenye vyombo vya sheria na Luna baadhi ya watu wamepewa pesa ili wanyamaze

Naomba mkuu wa kituo cha polisi rujewa afuatilie tukio hill maana ni la kikatili sana

tukio hili limetokea wilayani mbarali kata ya mawindi kijiji cha manienga katika kitongoji cha makondo A
Mode naomba Uzi huu ufikishwe panapo hitajika

*Ofisi ya mkuu wa wilaya mbarali

* Mkuu wa kituo cha polisi kata ya rujewa
Andika kwa kutulia mkuu!
 
Akanyee debe watu kama hao lazima wauwe mtu trust me yupo kijana alikuwa anakamia sana nitamchoma mtu kisu alafu nitoweke na kweli alikuja mchoma mwezie kisu akamuua a akatoweka adi kesho ajulikani alipo
 
Sio mpaka usibirie ,nenda polisi kafungue kesi then lipia mafuta ya difenda waje kumbeba.
 
Ungesema ni UVCC kachomwa kisu, hadi Mwenyekiti taifa ungemsikia. Lakini ukisema ni kijana tu, haitoshi.
 
Habari wa kuu, kijana moja anaefahamika kwa jina la meshaki mkazi wa kitongoji cha makondo "A" amechomwa na kisu sehemu kadhaa za mwili na aliyetendanda unyama huu ni jirani take, suala hill limeonekana kufumbiwa nacho na viongozi mtaa pamoja na afisa inasadikika kuwa mtuhumiwa ametoa rushwa ili asifikishwe kwenye vyombo vya sheria na Luna baadhi ya watu wamepewa pesa ili wanyamaze

Naomba mkuu wa kituo cha polisi rujewa afuatilie tukio hill maana ni la kikatili sana

tukio hili limetokea wilayani mbarali kata ya mawindi kijiji cha manienga katika kitongoji cha makondo A
Mode naomba Uzi huu ufikishwe panapo hitajika

*Ofisi ya mkuu wa wilaya mbarali

* Mkuu wa kituo cha polisi kata ya rujewa
Aende kwanza kuripoti Kituo Cha Polisi ili kuweka kumbukumbu sahihi
 
Back
Top Bottom