Technologia, hasa ya internet, na vifaa vyake kama simu imekuja kuonyesha utupu wa watu uliojaa vichwani, utaona picha za ajabu, comment na post za kijinga mitandaoni.
Kama si mabadiliko hata ya tech, tusingesikia na kuona habari utupu uliojaa vichwani mwa kina Faiza, Lemutuz, Gigy, na wengine.
And this is for sure, usipokuwa makini utapata aibu ya mwaka.