chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 20,834
- 26,217
Aliyekuwa mume wa mwanamuziki wa Injili, Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha ameapa kwa kulamba kidole, kukichovya kwenye mchanga kisha kukipitisha shingoni kuwa, hana mpango wa kurudiana na mkewe huyo katika maisha yake.
Chanzo: Global Publisher Limited
Chanzo: Global Publisher Limited