mtvbase JF-Expert Member Joined May 22, 2014 Posts 1,243 Reaction score 561 Aug 24, 2014 #1 Mbasha ametoa album yake mwenyewe ya kwanza bila Flora Mbasha.
Raynavero JF-Expert Member Joined Apr 29, 2014 Posts 38,378 Reaction score 56,047 Aug 24, 2014 #2 makubwa....!!!!
Chivundu Platinum Member Joined Dec 17, 2012 Posts 7,781 Reaction score 6,966 Aug 24, 2014 #3 Apige kazi atafute hela,,papuchi hiyo awaachie wengine!
E Easy E JF-Expert Member Joined Feb 19, 2012 Posts 2,054 Reaction score 1,725 Aug 24, 2014 #4 gudi sana
M maiye JF-Expert Member Joined Dec 16, 2013 Posts 1,159 Reaction score 2,028 Aug 24, 2014 #6 Kazi ipo.
cmoney JF-Expert Member Joined Oct 14, 2011 Posts 3,570 Reaction score 5,508 Aug 24, 2014 #7 Huyo Jamaa Kama Kama anapata publicity ya kijinga....anajaribu kujiweka innocent
Rugaijamu JF-Expert Member Joined Jul 10, 2010 Posts 2,942 Reaction score 1,298 Aug 24, 2014 #8 Kila la heri katika harakati hizi, hope Mungu atamfanyia wepesi na atafanikiwa pia.
promiseme JF-Expert Member Joined Mar 15, 2010 Posts 2,707 Reaction score 932 Aug 24, 2014 #9 Mungu atakupa mwenye kheir na wewe..............
mkonowapaka JF-Expert Member Joined Feb 19, 2010 Posts 1,492 Reaction score 768 Aug 24, 2014 #10 Tumia fursa kk,tunanunua cd kwa kukuhurumia.....maaninya
C christmas JF-Expert Member Joined Jul 21, 2011 Posts 2,701 Reaction score 1,280 Aug 24, 2014 #11 hyo album ni ya nyimbo za gospel au bongo flavour mbona binadam tunamtania Mungu kiasi hki.
E Easy E JF-Expert Member Joined Feb 19, 2012 Posts 2,054 Reaction score 1,725 Aug 24, 2014 #12 lazima niinunue...kuna kipindi nilipitia msoto sababu ya mal.ya...nikionaga mwana anapitia issue kama hizi waga nakumbuka mbali sana...da!
lazima niinunue...kuna kipindi nilipitia msoto sababu ya mal.ya...nikionaga mwana anapitia issue kama hizi waga nakumbuka mbali sana...da!
Pukudu JF-Expert Member Joined Jan 7, 2011 Posts 3,149 Reaction score 2,232 Aug 24, 2014 #13 Huyo Mariooo hata kuimba anajua bas?? Au kina Ruge washaona fursa
dolevaby JF-Expert Member Joined Aug 25, 2013 Posts 12,958 Reaction score 9,516 Aug 25, 2014 #14 christmas said: hyo album ni ya nyimbo za gospel au bongo flavour mbona binadam tunamtania Mungu kiasi hki. Click to expand... Mkuu nimecheka sana watu wanasaka TONGE tu hakuna cha zaidi......
christmas said: hyo album ni ya nyimbo za gospel au bongo flavour mbona binadam tunamtania Mungu kiasi hki. Click to expand... Mkuu nimecheka sana watu wanasaka TONGE tu hakuna cha zaidi......
dolevaby JF-Expert Member Joined Aug 25, 2013 Posts 12,958 Reaction score 9,516 Aug 25, 2014 #15 Pukudu said: Huyo Mariooo hata kuimba anajua bas?? Au kina Ruge washaona fursa Click to expand... Msiwapondee MARIOO sababu maisha hayana Fomla...cdhani km.alipokuwa shule aliwekeza Akili kutunzwa na Mwanamke so Ujinga niile mtu kujisahau lkn kwa mtu anaejitambua uMARIOO ni daraja km madaraja mengine yakumvusha mtu kutimiza ndoto zake....
Pukudu said: Huyo Mariooo hata kuimba anajua bas?? Au kina Ruge washaona fursa Click to expand... Msiwapondee MARIOO sababu maisha hayana Fomla...cdhani km.alipokuwa shule aliwekeza Akili kutunzwa na Mwanamke so Ujinga niile mtu kujisahau lkn kwa mtu anaejitambua uMARIOO ni daraja km madaraja mengine yakumvusha mtu kutimiza ndoto zake....