Tetesi: Mbatia kupoteza uwaziri na marupurupu yake baada ya kwenda kinyume na utaratibu wa kambi rasmi chini ya KUB Mbowe

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Inasemeka KUB Mbowe atamtumbua James Mbatia kutoka kwenye baraza lake la mawaziri vivuli wakati wowote kuanzia sasa.

Nafasi ya Mbatia inaweza kujazwa na mbunge wa Kigoma mjini mh Zitto Kabwe kama ataafikiana na KUB.

Stay tuned,

Maendeleo hayana vyama!
 
Nadhani utajua baadae kwasasa toa maneno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bwashee naona na wewe umeamua kulipiza tetesi za yule jamaa anaeleta tetesi za mazungumzo ya bosi wenu na kina Mbatia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni sahihi kwani NCCR ni Chama Tanzu cha CCM atalipwa kama Mawaziri wa CCM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbatia hana akili za kiukichaa kama mwenyekiti wenu.

Over
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…