Mbatia na unabii wako wa kishetani umegonga mwamba

Aaah aah! Anafanana na yule Daktari aliyesema Tanzania kuna baa la ugonjwa wa Zika!
Kama kawaida alishangiliwa sana na makamanda! Lakini mpaka Leo imebaki story.
 
Jamani mimi mwezi uliopita nilikuwa ndani ya Basi natokea Arusha nakuja Dar nilikuwa nasikia abiria wakiongea kwenye simu karibia kila abiria alikuwa akiongea kwamba anakwenda kwenye msiba.

Katika umri wangu huu sijawahi kukutana na hali kama ile.
 
We mbayuwayu hebu tumia akili wewe. Haikusaidii chochote kuleta ushabiki maandazi kwenye tatizo.

We huoni hii misiba sasa hivi? Unaona sawa tu?

Eti Mungu wa Tanzania.
Hujasikia pale Moshi kumekuwa na uhaba wa majeneza hata watengeneza majeneza wakaomba msaada?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…