Uchaguzi 2020 Mbatia subiri ubunge wa kuteuliwa, wa kuchaguliwa sahau

Uchaguzi 2020 Mbatia subiri ubunge wa kuteuliwa, wa kuchaguliwa sahau

Tabutupu

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
13,206
Reaction score
18,549
Chama cha NCCR Mageuzi kimeingia choo cha kike kwa ahadi ya mbeleko toka CCM. Eti watapata wabunge 15 na kuwa chama kikuu cha upinzani.

Tunatambua Serikali ya CCM itatafuta uhalali wa demokrasia kwa kuwa na wabunge wa upinzani ambao ni CCM B ili dunia iaprove kwamba Tanzania ni nchi ya vyama vingi.

Lakini ukingalia NCCR Mageuzi hali waliyo nayo, kabisa ni sawa na mgonjwa mahututi kujiandaa mbio za km 5 akiwa kitandani.

Jeuri ya Mbatia imepotea kabisa muda huu baada ya kuona hakuna dalili hata mwenyewe kurudi bungeni.

Na huu unaweza kuwa ndio mwisho wa chama hiki na baada ya uchaguzi kitakuwa kama chama cha Cheyo au cha Mrema.

NCCR ni chama kikongwe lakini kinafanya mambo ya kitoto sana.
 
Hata huo ubunge wa viti maalum atachaguliwa na nani wakati bwanaake kawekwa mtu kati na lissu na kachero mbobezi, sanasana naona jiwe ataambulia nafasi ya tatu!
 
Mbatia anajiandaa kumlisi mrema baada ya mrema kurudisha number. wazee wa vujo hawanazo. juzu mrema kaomba kila jimbo CCM wasimamishe mgombea wa TLP CCM. CCM wote wkacheka.2025 mbatia naye ataomba ccm wasimamishe mgombea wa NCCR na CCM kila jimbo.
 
Alitema BG kwa kuonyeshwa karanga,kwa hasira ya aibu hakushiriki dodoma kwenye uapisho.Amemalizwa sijui huwa awajifunzi kwa mrema na le profesele.
 
Mbatia ni sawa na le profesele cuf inamfia kabaki na chama Maalimu kaondoka na wanachama,japo dalili za kuifuta ACT ili isishinde Zanzibar zipo wazi, rejea barua ya maagizo ya mtungi wa CCM.
 
Mbatia anatarajia yale ya 2019 serikali za mitaa kujimegea mgao majimbo. Kitu ambacho ccm hawawezi kuirubuni tena dunia.
 
Mbatia anatarajia yale ya 2019 serikali za mitaa kujimegea mgao majimbo. Kitu ambacho ccm hawawezi kuirubuni tena dunia.
Mbatia na lipumba washamalizwa na ccm hawana faida tena,wale kina dada walioandikiwa barua sijui Wana Hali gani tena.
 
Mbatia aendelee kuwadanganya wanawake wa Kawe
Pesa alipewa iko mfukoni
Hagombei ubunge wala udiwani mnaodanganwa viti maalum nccr endeleeni kunanilii ...
 
Back
Top Bottom