lendila
JF-Expert Member
- Sep 26, 2012
- 5,806
- 4,370
Mbatia v/s mrema nani zaidi?
Mrema na Mbatia wanafanya siasa zinafanana na wanatoka jimbo moja la vunjo
Mrema na Mbatia lengo lao sio kushika dola,lengo lao ni kuwa vyama vya upinzani maisha yao yote hili kalisema mbatia mwenyewe kuwa mwaka huu malengo yao Kama chama ni nini
Mrema na Mbatia hawana shida kabisa na kushika dola hili nalo hawalifichi kabisa wanasema wazi mchana kweupe
Lengo lao kubwa ni kushiriki chaguzi tu,na kupata kura au kugawa kura za wapenda mabadiliko
Swali,ni je kati ya Mrema na Mbatia nani ambaye mwaka 2020 atazichanga karata zake vizuri za kupata angalao kura nyingi kidogo kuliko mwenzake?
Nani atamdi mwenzake kwa kupata madiwani wengi kuliko mwenzake?
Mrema na Mbatia wanafanya siasa zinafanana na wanatoka jimbo moja la vunjo
Mrema na Mbatia lengo lao sio kushika dola,lengo lao ni kuwa vyama vya upinzani maisha yao yote hili kalisema mbatia mwenyewe kuwa mwaka huu malengo yao Kama chama ni nini
Mrema na Mbatia hawana shida kabisa na kushika dola hili nalo hawalifichi kabisa wanasema wazi mchana kweupe
Lengo lao kubwa ni kushiriki chaguzi tu,na kupata kura au kugawa kura za wapenda mabadiliko
Swali,ni je kati ya Mrema na Mbatia nani ambaye mwaka 2020 atazichanga karata zake vizuri za kupata angalao kura nyingi kidogo kuliko mwenzake?
Nani atamdi mwenzake kwa kupata madiwani wengi kuliko mwenzake?