Mbegu bora ya nyanya

Mbegu bora ya nyanya

GEBA2013

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2014
Posts
4,880
Reaction score
6,047
Nilisimama kulima nyanya kwa muda mrefu, na sasa nataka kurudi kulima nyanya tena. Naombeni msaada wenu ipi mbegu bora ya nyanya kwa sasa na haipigwi na kinyausi.
 
KINYAUSI ni ugonjwa wa nyanya kunyauka na hatimaye kufa.kwa kitaaluma unaitwa FUSARIUM WILT.Unatesa sana wakulima wa nyanya
 
Back
Top Bottom