Habari wadau wa ufugaji. Kumekuwa na changamoto ya upatikanaji wa mbegu bora ya samaki. Zilizopo nizile ambazo hazikui sana kufikia kiasi cha Sato mkubwa, asilimia kubwa zinakuwa kama perege. Je ni wapi au ni namna gani mfugaji anaweza akawa au akapata mbegu bora ya samaki aina ya Sato inayokuwa kwa muda mfupi na ukubwa wakuridhisha?
kwa wafugaji wa ukanda wa pwani wanaweza kutafuta mozambicus toka Rufiji, TAFIRI wanasema ni mbegu bora sana kwa wafugaji wa Pwani.Asilimia kubwa mbegu ni zakichina na zile nzuri hawazitoi
Kuna watu inaonekana mumezaliwa na asili ya ubishiacha fiksi wewe hakuna sato mwenye kilo moja duniani
Kuna Professor SUA Morogoro anazalisha vifaranga na chakula chenye virutubisho kitaalam, anatoa elimu na anasambaza vifaranga vya samaki nchi nzimaHabari wadau wa ufugaji. Kumekuwa na changamoto ya upatikanaji wa mbegu bora ya samaki. Zilizopo nizile ambazo hazikui sana kufikia kiasi cha Sato mkubwa, asilimia kubwa zinakuwa kama perege. Je ni wapi au ni namna gani mfugaji anaweza akawa au akapata mbegu bora ya samaki aina ya Sato inayokuwa kwa muda mfupi na ukubwa wakuridhisha?
1. Amna madhara yoyote ya kiafya kwa walaji wa samaki wa kufugwaJe kuna madhara ya kula samaki wa kufugwa na wale wa asili?
Unajuaje huyu samaki wa kufugwa na huyu wa halisia kama wote wameganda?
Je samaki bucha za Ubungo ni wa asili au wakutengenezwa?
Watanzania wengi ni wajuaji, hawana utulivu wa kujifunza jambo.Namashaka na uelewa wako kuhusu samaki, nimekuwa kwenye industry kwa zaidi ya miaka mitatu nimeshuhudia samaki wengi tu ambao wanazaidi ya kilo 1
Fatilia utaona, tembelea sehemu zenye vizimba (cage culture) au miradi mikubwa ya ufugaji samaki au landing site zilizo around Ziwa Victoria utaona samaki wenye hadi 2kg
Mbona una hasira sana wee jamaa? Nenda kwenye maduka yanayouza samaki wabichi uone sato hadi kilo moja na nusu wengine hadi 2na useme ana miaka mingapi sio kusema kilo moja tu, sema ana miezi sita tukucheke
Mkuu hao Nile tilapia wanakuwa Tyr kuvunwa baada ya muda Gani kama wamelishwa vzr? Bei yake ya kifaranga kimoja ni sh ngapi na wanapatikana wapi?Mbegu bora ya samaki ni ile inayozalishwa na wataalamu wa ufugaji samaki zipo taasisi zilizojikita kuzalisha mbegu ya samaki wa kufugwa kama vile Big fish, Eden agri-aqua, SUA n.k
Kwa uzoefu wangu mbegu nzuri kwa samaki aina ya sato ni Nile Tilapia (Oreochromis niloticus) hii ni specie nzuri samaki anaweza kufika hadi uzito wa 1kg - 2kg kama utamfuga na kumlisha vizuri
Pia kama unataka matokeo mazuri nunua vifaranga ambavyo ni madume pekee (mono-sex) samaki madume wanakuwa haraka kuliko majike, ukifuga madume pekee utazuia population na kutengeneza mazingira mazuri kwa samaki wako kukuwa kwa haraka
Karibu kwa ushauli na msaada zaidi kuhusu chochote kuhusiana na ufugaji samaki
Mkuu wewe wawapi? Mimi sio mfugaji ila nimewahi kuvua samaki mganza chato. Kuna hifadhi inaitwa lubondo huko Kuna sato ukimuona ushangae kg2-3 ni kawaida tu. Karibu ubishane mwenyew mkuu.acha fiksi wewe hakuna sato mwenye kilo moja duniani
Hajui lolote huyo mkuu kuhusu samaki aina ya satoNiweke sahihi, hoja ilikuwa hakuna sato mwenye kilo moja
Twende kwenye hoja ya pili muda ambao samaki anachukua hadi kufikisha kilo 1 au zaidi
Naomba nijikite kwenye samaki wa kufugwa, muda unategemea na factors kama vile chakula, ubora wa maji na management kwa ujumla
Binafs nimeshuhudia samaki akifikisha 1kg kwenye cage culture
Hoja haikuwa umri bali uzito, njoo Mwanza uoneshwe hao wenye 2kgs.na useme ana miaka mingapi sio kusema kilo moja tu, sema ana miezi sita tukucheke
Muda sio constant inategemea na soko lako linataka samaki wenye ukubwa au uzito ganiMkuu hao
Mkuu hao Nile tilapia wanakuwa Tyr kuvunwa baada ya muda Gani kama wamelishwa vzr? Bei yake ya kifaranga kimoja ni sh ngapi na wanapatikana wapi?
Mkuu wewe wawapi? Mimi sio mfugaji ila nimewahi kuvua samaki mganza chato. Kuna hifadhi inaitwa lubondo huko Kuna sato ukimuona ushangae kg2-3 ni kawaida tu. Karibu ubishane mwenyew mkuu.
Pole sana kwa hiyo changamoto mkuuKuna kipindi nilishafuga hao wadudu aina ya sato nikauziwa chakula feki ,kuamka asubuhi nikakuta wamepanda juu ya bwana wote wamekufa.
Ahsantee Kwa maelezo Yako. Naweza pata wapi vifaranga hao nipo geita kijijni Kwa Sasa na nimeanza process ya uchimbaji bwawa nianze na bwa Moja kwanza.Muda sio constant inategemea na soko lako linataka samaki wenye ukubwa au uzito gani
Mara nyingi wanakuwa tayari kuvunwa pale tu wanapofisha uzito wa gram 250 na kuendelea. Kama unawalisha vizuri na wanaishi kwenye maji salama unaweza kuanza kuvuna kuanzia miezi 4 hadi 6.
Wateja wengi wanapenda samaki wanaoingia 3 - 4 kwenye kilo moja wastani wa miezi 6 unatosha kabisa kumfikisha samaki kwenye huu uzito
Pia kibishara inashauliwa kuwauza samaki wako mapema ili kupunguza gharama za kuwalisha na kufanya production cycle kuwa fupi ili atleast kwa mwaka uvune mara mbili
Bei ya kifaranga ni Tsh 250
Huenda uliuziwa michembe au mapalage mzee pole sana binadamu sio wemaKuna kipindi nilishafuga hao wadudu aina ya sato nikauziwa chakula feki ,kuamka asubuhi nikakuta wamepanda juu ya bwana wote wamekufa.
Karibu sisi tunafuga na kuzalisha vifaranga vya Sato pamoja na kambaleAhsantee Kwa maelezo Yako. Naweza pata wapi vifaranga hao nipo geita kijijni Kwa Sasa na nimeanza process ya uchimbaji bwawa nianze na bwa Moja kwanza.
Karibu sisi tunafuga na kuzalisha vifaranga vya Sato pamoja na kambale
Kwa upande wa Sato specie tunayozalisha ni Nile Tilapia (Oreochromis niloticus) na kuna vifaranga vya aina mbili madume (mono-sex) watu na mchanganyiko (mixed sex) wewe unahitaji aina gani?
Ni vyema kama ukiniambia eneo la bwawa lako ni la ukubwa gani ili nikushauli uchukue idadi gani ya samaki