MUBENDE
JF-Expert Member
- Nov 11, 2022
- 1,111
- 1,879
Nawasalimuni kwa jina la Mungu naomba niwataarifuni kwa wanao penda kufuga Mbuzi Bora wa kisasa Boer, sasa ASAS iringa wametangaza wanazo mbegu zakutosha wanauza ni Madume tu.
Naomba niweke mawasiliano yao hapa ili muweze kupata maelekezo zaidi na njia ya kuweza kuagiza.
0717 405 073 Frank Mhasibu./ 0654 014 365 Dr Obeid. AFRIFARMTZ. Naomba muwasiliane na hao wahusika.
Naomba niweke mawasiliano yao hapa ili muweze kupata maelekezo zaidi na njia ya kuweza kuagiza.
0717 405 073 Frank Mhasibu./ 0654 014 365 Dr Obeid. AFRIFARMTZ. Naomba muwasiliane na hao wahusika.