Mimi nipo mkuranga pia ni bwana shamba nalima nyanya msimu huu msimu mzuli ndio huu kuanzia mwezi wa 12 mpka wa 5 bei inakuwa nzuri ukitaji mbegu niambi nina mbegu za masika na kiangazi zote ni F1 gramha rz na jarrah rz nitakusimamia na kukufundisha ukitaji huduma zang karibu 0620345862